AL SHARPTON
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,797
- 953
Huyo ndo poa sana,hapo mpaka ndoa ndo kieleweke
Sasa nitamiliki vipi gari bila test drive?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ndo poa sana,hapo mpaka ndoa ndo kieleweke
Weka basi mkato, nukta n.k. kwani unakimbizwa lol
hivi kwanini vijana wa siku hizi mko hivyo
yaani kazi yenu kubwa ni kugegeda /kugegedeana
kwani ukikaa bila kugegeda utaishi mpaka ufanyehivyo?
Kwanini unataka mwili ukutawale na wewe usiutawale huo mwili
kwanini mnaendekeza ayo makitu yasiyo na maana kabisa
kwanini usikae ukasubiri mpaka ufunge ndoa ndipo ugegede
kwanini unakuwa mtu wa tamaa kiasi hicho
subirianeni mkaoane kisha mkadedeane huko honeymoon
Tatizo la ladyfurahia anagomba tu ss nashindwa kujua ujumbe hasa ni upi? Ujumbe mzuri apo ni upinkwa mfano?
Watu mnao jifanya kuongea kwa uchungu ndio wagawa K maarufu.
Binadamu tuna asili ya unafiki.
mmmmmhhh Excel...hebu toa jibu paroko wangu afahamishwe
Kabla hata hajanitongoza