Mwananchi Huru
JF-Expert Member
- Nov 20, 2021
- 2,128
- 1,896
Naunga mkono hoja za wengi hii Crown Redio iko mbele sana,
Huyu Mtangazaji wa zamani wa BBC Bw Salim Kikeke anajua mambo mengi hasa ya kidunia hivyo ukienda kwenye interview kuwa makini na elewa vizuri unachokieleza.
Ona hapa alivyokutana uso kwa uso na Mkurugenzi wa PPP Tanzania Bwana David Kafulila mjadala umekuwa moto fire.
Sikiliza mpaka mwisho mjadala huu kuhusu fursa za kuwekeza Kwa sharti la PPP hapa nchini.
Vijana changamkeni ajira ni hizi
Huyu Mtangazaji wa zamani wa BBC Bw Salim Kikeke anajua mambo mengi hasa ya kidunia hivyo ukienda kwenye interview kuwa makini na elewa vizuri unachokieleza.
Ona hapa alivyokutana uso kwa uso na Mkurugenzi wa PPP Tanzania Bwana David Kafulila mjadala umekuwa moto fire.
Sikiliza mpaka mwisho mjadala huu kuhusu fursa za kuwekeza Kwa sharti la PPP hapa nchini.
Vijana changamkeni ajira ni hizi