Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tulia chawaHatari ipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia chawaHatari ipi?
Wewe ni chawa proMaxTulia chawa
[emoji7]Nahisi wewe ndio sio raia wa nchi hii
Huu ubaguzi hauna tija yoyoteKafulila sio Raia,
Mimi nipewe hii KUWASA naona wazingua sana sijajua natakiwa kuwa na mtaji kiasi gani.
NkundaMkuu wa majeshi anaitwaje? Na kwao ni Morogoro
USSR
Wewe ni muhuni tuKafulila sio Raia,
Mimi nipewe hii KUWASA naona wazingua sana sijajua natakiwa kuwa na mtaji kiasi gani.
CCM inamfahamu kuliko unavyomfahamu weweKafulila anakitu Cha ziada sijui kama CCM wanajua hili
Umejibu vemaCCM inamfahamu kuliko unavyomfahamu wewe
Wachawi sana Hawa watuUvinza Kigoma
Kafulila sio raiaNaunga mkono hoja za wengi hii Crown Redio iko mbele sana,
Huyu Mtangazaji wa zamani wa BBC Bw Salim Kikeke anajua mambo mengi hasa ya kidunia hivyo ukienda kwenye interview kuwa makini na elewa vizuri unachokieleza.
Ona hapa alivyokutana uso kwa uso na Mkurugenzi wa PPP Tanzania Bwana David Kafulila mjadala umekuwa moto fire.
Sikiliza mpaka mwisho mjadala huu kuhusu fursa za kuwekeza Kwa sharti la PPP hapa nchini.
Vijana changamkeni ajira ni hizi
View attachment 3080287
Kafulila ni hazina kwa TaifaNaunga mkono hoja za wengi hii Crown Redio iko mbele sana,
Huyu Mtangazaji wa zamani wa BBC Bw Salim Kikeke anajua mambo mengi hasa ya kidunia hivyo ukienda kwenye interview kuwa makini na elewa vizuri unachokieleza.
Ona hapa alivyokutana uso kwa uso na Mkurugenzi wa PPP Tanzania Bwana David Kafulila mjadala umekuwa moto fire.
Sikiliza mpaka mwisho mjadala huu kuhusu fursa za kuwekeza Kwa sharti la PPP hapa nchini.
Vijana changamkeni ajira ni hizi
View attachment 3080287
TunajuaKafulila anakitu Cha ziada sijui kama CCM wanajua hili
Kwani kuna shido?Kafulila sio Raia,
Mimi nipewe hii KUWASA naona wazingua sana sijajua natakiwa kuwa na mtaji kiasi gani.
Hata ikiwa proved, sisi tunamuhitaji. Hii nchi vilaza ni wengi. Nadhani tuanze kununua watu wengine nje ya nchi.Huyu Kila post inayomuhusu Kafulila lazima alete hoja yake hiyo hiyo ambayo ni unproven.
Kafulila anakitu Cha ziada sijui kama CCM wanajua hili
Wewe uraia wako umeleta Nini?Kafulila sio Raia,
Mimi nipewe hii KUWASA naona wazingua sana sijajua natakiwa kuwa na mtaji kiasi gani.