Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo spid haikuwa ya kawaida aisee
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] duh ilo jibu kweli ni kiboko ya mabishooAmejibu, kasema mlitaka akaikumbatie?😀😀
Halafu shati alilovaa! Huwezi kukosa kumuona!View attachment 485964
Jamani Harmo yuuuuuuuuleee.... Huyu mtu kimzahamzaha anapata tu airtime. Sielewi hata ilikuwaje akawa hapo kwa muda huo lakini ndo anakiki mwenzenu.
Naona alienda kumsapoti Homeboy wa Mtwara. Wasanii hebu fuateni nyayo za Harmo!!
Kwa akili za wabongo, hata ubunge ataupata.View attachment 485964
Jamani Harmo yuuuuuuuuleee.... Huyu mtu kimzahamzaha anapata tu airtime. Sielewi hata ilikuwaje akawa hapo kwa muda huo lakini ndo anakiki mwenzenu.
Naona alienda kumsapoti Homeboy wa Mtwara. Wasanii hebu fuateni nyayo za Harmo!!