Ficha ujinga basi mkuu!! Hivi kuona mtu km amefuta post zake inahitaji dakika ngapi au kujua km hakuna sehemu ya comments amefunga..!! Maana unaongea km vile ni jambo kubwa sana la kufanyia utafiti...
Sent using Jamii Forums mobile app
Moja ya mambo ya kipumbavu na kuzidi kua masikini ni pamoja na kuacha bidii ya kazi na kujitafutia kukua kiuchumi kisha unakaa na kufatilia maisha ya mtu ambaye hana faida kwako wala kwa wasomaji wa hapa jfBaada ya kifo cha Ruge, Jide alijua kuwa atazungumziwa sana kwenye media akaja na ka sligan kake cha I DON’T CARE lakini naona imekuwa kinyume amna mtu yeyote aliyemzungzia zaidi ya wana JF kufufua makaburi ya nyuzi zake. Alitarajia baadhi ya watu wamsihi ahudhurie msiba lakini imekuwa kimya.
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Sent using Jamii Forums mobile app
B Dozen niaje?..Baada ya kifo cha Ruge, Jide alijua kuwa atazungumziwa sana kwenye media akaja na ka sligan kake cha I DON’T CARE lakini naona imekuwa kinyume amna mtu yeyote aliyemzungzia zaidi ya wana JF kufufua makaburi ya nyuzi zake. Alitarajia baadhi ya watu wamsihi ahudhurie msiba lakini imekuwa kimya.
Baada ya kifo cha Ruge, Jide alijua kuwa atazungumziwa sana kwenye media akaja na ka sligan kake cha I DON’T CARE lakini naona imekuwa kinyume amna mtu yeyote aliyemzungzia zaidi ya wana JF kufufua makaburi ya nyuzi zake. Alitarajia baadhi ya watu wamsihi ahudhurie msiba lakini imekuwa kimya.
But that's not the only reoson of chameleons to change colourOk
Chameleons change color to match the earth. Earth doesn't change color to match the chameleon.
It's an African proverb. Isn't it?But that's not the only reoson of chameleons to change colour