Kiki ya dada Lady jay dee yafeli

Kiki ya dada Lady jay dee yafeli

Baada ya kifo cha Ruge, Jide alijua kuwa atazungumziwa sana kwenye media akaja na ka sligan kake cha I DON’T CARE lakini naona imekuwa kinyume amna mtu yeyote aliyemzungzia zaidi ya wana JF kufufua makaburi ya nyuzi zake. Alitarajia baadhi ya watu wamsihi ahudhurie msiba lakini imekuwa kimya.
Moja ya mambo ya kipumbavu na kuzidi kua masikini ni pamoja na kuacha bidii ya kazi na kujitafutia kukua kiuchumi kisha unakaa na kufatilia maisha ya mtu ambaye hana faida kwako wala kwa wasomaji wa hapa jf

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Baada ya kifo cha Ruge, Jide alijua kuwa atazungumziwa sana kwenye media akaja na ka sligan kake cha I DON’T CARE lakini naona imekuwa kinyume amna mtu yeyote aliyemzungzia zaidi ya wana JF kufufua makaburi ya nyuzi zake. Alitarajia baadhi ya watu wamsihi ahudhurie msiba lakini imekuwa kimya.
B Dozen niaje?..
 
Hapa tunafanya nini

Dah kweli akili ni nywele
Baada ya kifo cha Ruge, Jide alijua kuwa atazungumziwa sana kwenye media akaja na ka sligan kake cha I DON’T CARE lakini naona imekuwa kinyume amna mtu yeyote aliyemzungzia zaidi ya wana JF kufufua makaburi ya nyuzi zake. Alitarajia baadhi ya watu wamsihi ahudhurie msiba lakini imekuwa kimya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja nipite kushoto, maisha ya mtu hayanihusu mie.
[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]
 
Back
Top Bottom