Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata sisi tunapambana na simba.Kwa sababu Haji kasema, basi aungwe mkono tu?
Hivi Kwa nini hawezi kuongelea issue za Simba bila kuingiza Yanga?
Kwa nini asihamasishe wana Simba waende kuipa support timu yao Jumapili akaishia hapo. Mipango ya Yanga inamhusu nini?
Manara ameanza vizuri na mambo ya kuzomeana ni bora yafike mwisho kwa maendeleo ya mpira wetu. Mkemi anatuharibia image ya team yetu, tutaonekana Yanga wote Mazuzu.Mwaka huu mikia ndo mnakumbuka uzarendo mhuuu mikia wote mkapimwe mkojo
Mkuu, usingie chaka kwa ujanja wa Haji. Ni adui wa kudumu wa Yanga. Walikuwa wapi muda wote wakiwa mchangani?Manara ameanza vizuri na mambo ya kuzomeana ni bora yafike mwisho kwa maendeleo ya mpira wetu. Mkemi anatuharibia image ya team yetu, tutaonekana Yanga wote Mazuzu.