Be honest Kondeboy anaweza kulipa millioni 234 kuukodi huu ukumbi? Kama kulipa deni la Diamond kauza nyumba. O2 Arena gharama ya kukodi kwa siku ni £80,000..Tatizo hujui hata ulicho maanisha,Germany sio ulaya.
"Mkuu mimi naongelea mambo ya Ulaya. Sasa wewe niambie ukumbi wa maana ambao Diamond ama Sugu bora Mr Nice mwaka 2005 alipelekwa kwenye ukumbi wa maana Milton Keynes ambako hata kina Neyo waliwahi kupiga hata hivyo hamuwekwa kwenye ukumbi wenyewe bali sebure ya ukumbi."
Sijaju hiyo website,ila ktk Website yao wenye huo ukumbi walionyesha ticket sold out waka indicate na capaity iliyokuwa occupied 3500,sema sukuscreen shoot.Soma hapo mpaka ukifika kwa 2face. Diamond kajaza wabongo zaidi ya 1000 kesho yake Mnigeria kajaza full house. Sasa narudi kusema wasanii wetu wanajaza mashabiki kutoka TZ . Imagine kama Diamond ambaye ni King kwasasa Eadt Africa kashindwa kujaza kaukumbi ka 3500 seats huyu Mmakonde huo ubavu wa kujaza 20000 ukumbi maarufu ujulikanao dunia nzima. Huo wa Berlin sijawahi kuusikia maana Ujerumani mpaka leo uliponiambia. Lakini O2 unajulikana duniani kote kwasababu ya events zake.
Kuukodi huu ukumbi kwa siku ni madafu kwa rate ya leo ni milioni 234. Ndiyo tofauti ya uchochoroni na O2 Arena. Brixton kuna. Ukumbi O2 Academy labda sawa na huo wa Berlin alikopiga Diamond lakini ni uchochoroni ni sawa na kulinganisha bilicanas na kwa macheni zote ni night clubitakuwa J Cole kawa mondi siku hizi... Hahahahaha
Cc Juma lukole aka innocent dependent njoo hapa kima ww
Be honest Kondeboy anaweza kulipa millioni 234 kuukodi huu ukumbi? Kama kulipa deni la Diamond kauza nyumba. O2 Arena gharama ya kukodi kwa siku ni £80,000..
Sijajua ubishi wetu unatokea wapi. Ndiyo maana nilikuambia hii ni UK na nilizungumzia UK. Kama Hamornize angesema kupiga Ujerumani ningekaa kimya kumpa benefit of doubt. Lakini ujue UK ni Ulaya lakini ni tofauti na nchi nyingine zote Ulaya. Ndiyo maana watu wanafia kwrnye malori wanakwenda UK wakitokea France Germany Italy hata spain. Hizo zote ni nchi za Ulaya. I can guarantee you Diamond hawezi kuja kupiga O2 na hizo pesa alizonazo kama hana wadhamini wa maana sembuse Kondeboy.Sijaju hiyo website,ila ktk Website yao wenye huo ukumbi walionyesha ticket sold out waka indicate na capaity iliyokuwa occupied 3500,sema sukuscreen shoot.
Sasa ndugu yangu ukumbi anafanya J Cole na Tyaga unasema duniani haujulikani kweli,maanake unachomaanisha hata Tyga na JCole hawajulikani.
Watu hamjui ushajiuliza kwanini wa Nigeria wanajaza ukimbi wa O2 only in UK lkn si nchi nyingine kama US.Sijawahi kusikia US sehemu kama Baclays Center,lkn kila siku ni UK O2 ,fanya research yako vizuri utajua kwa nini,wanashindwa sehemu nyingine.
100% siyo sasa kakubalika Africa siyo huku. Sidhani hata kama robo ya seat atazijazaKila kitu ni mipango kama akiwa na mipango,akatoa hits zika kamata Africa kisawa sawa,baada ya muda fulani anaweza kupiga show,ila ajitume kwani si lelemama.
Diamond kafanya show kwenye ukumbi maarufu wa Columbus nchini GermanMkuu mimi naongelea mambo ya Ulaya. Sasa wewe niambie ukumbi wa maana ambao Diamond ama Sugu bora Mr Nice mwaka 2005 alipelekwa kwenye ukumbi wa maana Milton Keynes ambako hata kina Neyo waliwahi kupiga hata hivyo hamuwekwa kwenye ukumbi wenyewe bali sebure ya ukumbi.
Aliskika mlamba Viatu mmojaDiamond kafanya show kwenye ukumbi maarufu wa Columbus nchini German
Kuna wasanii wa kuwadharau ila si diamond amepiga hatua kwenye mziki wake kulinganisha wasanii waliopita Hadi sasa hiv kapiga show almost 80% karibia nchi zote za Africa na kafanya show kwenye viwanja na kajaza.Sehemu pekee kabakisha ni kaskazini mwa Africa( nchi za waarabu).Mwaka Jana kafanya show Korea kusini na mwaka Huu ana European tour atayoanza mwezi wa tatu.Tukija kwa harmonize bado safari ndefu Sana kwanza Africa mashariki penyewe panamshinda kashindwa kujaza show Uganda West Africa ndo kabisa ndo ataweza uerope?. Diamond ameshateka teyali soko la Africa ikiwemo East Africa na Africa na baadhi ya nchi za ulaya kilichobaki kwake ni kuteka uerope nzima na dunia kiujumla.Yeah nimeona na nimesoma makala ya mwandishi moja. Alipiga hapo na kesho yake 2face akajaza ukumbi mzima. Nilichokisema ni hapa UK na sheria zao za kodi.
Kwan sababu za wasanii kutopiga hapo n nn,? Maana inaonekana unabonga sanaTwanga pepeta walienda England wakapiga bar moja inaitwa Element Milton Keynes walipokuja bongo wakadai walikua London. Mr Ebo alipelekwa Frames Milton Keynes hiyo bar ni sawa na Delux Magomeni. Ni uongo tu wa kujisifu. Halafu visa zao siyo za biashara ndiyo maana wanaishiaga uchochoroni na BBC swahili. Usidanganye wstu tunaojua mpaka hizo kumbi.
Hakuna msanii bongo flava aliyepiga katika ukumbi wenye akili UK.
Hamornize nimemuuliza kwenye inbox yake tarehe gani anapiga. Wiki sasa hajaninibu. Angalia website ya 02 Majina ya wasanii wanaopiga hapo pamoja na boxing Legends waliozipiga hapo.
Nb kama kweli Hamo atapiga hapo atakua mwanamuziki wa kwanza Africa Mashariki na kati hata kongo kupiga hapo
Huyo jamaa anabonga sanaWe kweli zuzu yani harmonize akujibu text inbox
We jamaa huwa unafanana kwa kila kitu na Juma Lokole, una mahaba na Diamond kuliko hata Tanasha Donna, habari zote za Diamond wewe ndio unazijua. Badilika bwana mdogo.Kumbi gani ya uchochoroni Diamond amefanya tuanzie hapo kwanza?kabla atujaenda Kwenye hoja yako
Ukiangalia humu Mashabiki wa mondi tupo wengi na Uzi wowote wa mondi utaniona me na wengine wengi.kwani me kuwa mshabiki wa mondi we unateseka na Nini?We jamaa huwa unafanana kwa kila kitu na Juma Lokole, una mahaba na Diamond kuliko hata Tanasha Donna, habari zote za Diamond wewe ndio unazijua. Badilika bwana mdogo.
Sijamdharau mtu hapa ila nimeongea ukweli Diamond ni jina kubwa lakini kwasasa ataendelea kupiga kumbi ndogo ama kama nilivyosema za uswahilini. Hana uwezo wa kupiga ukumbi mkubwa kama wa O2. Hata Ujerumani uwezo wake ni wa kumbi ndogo za kujaza watu kama 1000 mpaka 2000. Ni ukweli hayo mambo yenu ya timu Kiba ama Timu Mondi ama Timu Kondeboy mimi simo sababu mimi ni mtu wa Nostalgia. Timu zetu zilikua OSS Sikinde Juwata. Hivyo sina upendeleo naandika ukweli. Hakuna mwanamziki bongo wa kujaza kumbi kubwa Ulaya kama O2 ama hata huko Ujerumani. Hapa ni list ya kumbi kubwa Germany zinachukua watu 6000 na zaidi. Kaja mara kibao jiulize kwanini hapigi hizo kumbiKuna wasanii wa kuwadharau ila si diamond amepiga hatua kwenye mziki wake kulinganisha wasanii waliopita Hadi sasa hiv kapiga show almost 80% karibia nchi zote za Africa na kafanya show kwenye viwanja na kajaza.Sehemu pekee kabakisha ni kaskazini mwa Africa( nchi za waarabu).Mwaka Jana kafanya show Korea kusini na mwaka Huu ana European tour atayoanza mwezi wa tatu.Tukija kwa harmonize bado safari ndefu Sana kwanza Africa mashariki penyewe panamshinda kashindwa kujaza show Uganda West Africa ndo kabisa ndo ataweza uerope?. Diamond ameshateka teyali soko la Africa ikiwemo East Africa na Africa na baadhi ya nchi za ulaya kilichobaki kwake ni kuteka uerope nzima na dunia kiujumla.
Hawana uwezo wa ku afford gharama za hapo. Kukodi ukumbi kwa siku moja ni sawa na pesa za Tanzania mil 230. Kondeboy Kiba wanaweza kulipa hiyo na gharama zingune? Ndiyo maana wasanii wengi wakipiga hapo tkt za mwakani zinaanza kuuzwa leo. Ukumbi una uwezo wa kuchukua watu elfu 20.Kwan sababu za wasanii kutopiga hapo n nn,? Maana inaonekana unabonga sana
Umekosea jina mkuu!hebu jaribu kuliandika vizuri tuone kama atakuwepo kwny listi yaoHawezi kujibu sababu mimi si mbumbumbu kama ninyi wa kudanganywa na huyu mmakonde. Tatizo mnalishwa sana matango pori.
Ukiangalia humu Mashabiki wa mondi tupo wengi na Uzi wowote wa mondi utaniona me na wengine wengi.kwani me kuwa mshabiki wa mondi we unateseka na Nini?
[/QUOTE Mara nyingine ni ushoga