Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Nilikuwa nasikiliza clip ya ya mwaka jana (Jul) ya Afisa mafao wa mkoa wa Mwanza (James Oigo)
akielezea ukokotoaji mpya wa mafao ya mstaafu na pension (33%).
Akatolea mfano kwa Mstaafu aliyekuwa na mshara wa shs milioni mbili (2000,000) kwa mwezi; Akasema ataishia kulipwa shs Milioni 30 (malipo ya mkupuo) na kuendelea kulipwa pension ya shs laki nne (415,000) kila mwezi? Mbona malipo ya mwezi ni kidogo sana?
Hivi kama mtu aliyekuwa na Mshahara wa shs milioni mbili na aliyechangia zaidi ya miaka 15 anaishia kupata (415,000), hawa wafanyakazi wa kawaida walio wengi wenye mishahara chini ya laki nane watapata nini?
Nimeanza kuelewa kwa nini watu wanataka walipwe hela zao zote wanapo staafu
Ukweli imenishangaza sana; Kwa hayo mamiradi yooote wanayomiliki/wanayo anzisha kwa hela za wanachama, kwa nini wasingeongeza malipo ya kila mwezi yafike angalau 50% ya mshahara?
akielezea ukokotoaji mpya wa mafao ya mstaafu na pension (33%).
Akatolea mfano kwa Mstaafu aliyekuwa na mshara wa shs milioni mbili (2000,000) kwa mwezi; Akasema ataishia kulipwa shs Milioni 30 (malipo ya mkupuo) na kuendelea kulipwa pension ya shs laki nne (415,000) kila mwezi? Mbona malipo ya mwezi ni kidogo sana?
Hivi kama mtu aliyekuwa na Mshahara wa shs milioni mbili na aliyechangia zaidi ya miaka 15 anaishia kupata (415,000), hawa wafanyakazi wa kawaida walio wengi wenye mishahara chini ya laki nane watapata nini?
Nimeanza kuelewa kwa nini watu wanataka walipwe hela zao zote wanapo staafu
Ukweli imenishangaza sana; Kwa hayo mamiradi yooote wanayomiliki/wanayo anzisha kwa hela za wanachama, kwa nini wasingeongeza malipo ya kila mwezi yafike angalau 50% ya mshahara?