Kikokotoo kipya mafao ya wastaafu kutoka 25% hadi 33%

Kikokotoo kipya mafao ya wastaafu kutoka 25% hadi 33%

Ss Jr

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2018
Posts
577
Reaction score
451
HATIMAYE serikali imetangaza kikokotoo kipya cha mafao ya wastaafu, safari hii kukishuhudiwa kuwapo kwa usawa na uwiano kati ya watumishi wa umma na sekta binafsi.

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na wenye Ulemavu, Prof. Jamal Katundu, akizungumza na waandishi wa habari, jijini Dodoma jana, wakati akitoa taarifa kuhusu kanuni mpya za kikokotoo cha mafao ya watumishi nchini. PICHA: IBRAHIM JOSEPH

Kutangazwa kwa kanuni hizo ni hitimisho la sintofahamu ya mafao hayo iliyodumu kwa takribani miaka nne tangu mwaka 2018 serikali ilipositisha utekelezaji wa kanuni mpya za mafao kwa wastaafu zilizotaka kiwango cha mkupuo kiwe asilimia 25.

Kutokana na kuwapo kwa malalamiko ya wadau dhidi ya kanuni hizo Rais wa wakati huo, Dk. John Magufuli alilazimika kuzisitisha mwaka huo ili kutoa muda kujadili na Mei 14 mwaka huu, Rais Samia Suluhu Hassan aliliridhia ombi la wadau wa hifadhi ya jamii kupandisha kiwango cha kikokotoo kutoka asilimia 25 hadi 33.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa jana, mwenyekiti wa kamati elekezi ya kanuni hizo ambaye ni Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Prof. Jamal Katundu, alisema waziri wenye dhamana na masuala ya hifadhi ya jamii aliunda kamati hiyo ili kutekeleza maelekezo ya serikali ya kukubaliana kanuni itakayowianisha mafao kwa wafanyakazi wote.

Alisema kamati hiyo ilifanya kazi yake kwa kuzingatia mambo makubwa mawili ambayo ni kuhakikisha kanuni mpya inayopendekezwa inatoa mafao bora kwa wastaafu na pia mifuko inakuwa endelevu kwa manufaa ya wananchi wote.

“Kazi ya kamati ya kuandaa kanuni itakayotumika baada ya kipindi cha mpito imekamilika na kuridhiwa na wadau, kanuni mpya iliyoridhiwa itaanza kutumika rasmi Julai Mosi mwaka 2022,” alisema.

MAFAO YATAKAVYOKUWA

Prof. Katundu alisema kiwango cha mkupuo cha asilimia 33 ni kwa mifuko yote na kikokotoo limbikizi kitakuwa 1/580 kama ilivyokuwa kwa mfuko wa NSSF na ilivyokuwa mifuko ya PPF, GEPF na baadhi ya wanachama wa iliyokuwa PSPF na LAPF.

“Makadirio ya miaka ya kuishi baada ya kustaafu ni 12.5 kama ilivyo kwa mfuko wa NSSF na iliyokuwa mifuko ya PPF, GEPF na baadhi ya wanachama wa iliyokuwa PSPF na LAPF,” alisema.

Alisema mshahara wa kukokotolea mafao ya pensheni utakuwa wastani wa mishahara bora ya miaka mitatu ndani ya miaka 10 kabla kustaafu na umri wa kustaafu kwa lazima utaendelea kuwa miaka 60.

“Pia niwafahamishe kuwa pensheni za wastaafu watakaotumia kanuni hizi zitakuwa zikihuishwa mara kwa mara kwa kuzingatia mfumuko wa bei na uwezo wa mifuko hiyo ya pensheni,” alisema.

FAIDA ZA KANUNI MPYA

Katibu Mkuu huyo alisema kanuni hizo zitaongeza kiwango cha malipo ya mkupuo kutoka asilimia 25 iliyokataliwa mwaka 2018 hadi asilimia 33 kwa wanachama 1,364,050 sawa na asilimia 81 ya wanachama wote 1,690,187 wa mifuko ya pensheni.

Pia alisema inaongeza pensheni ya mwezi kutoka asilimia 50 ya sasa hadi asilimia 67 kwa waliokuwa wanachama wa PSPF na LAPF ambao ni asilimia 19 ya wanachama wote wa mifuko ya pensheni.

“Faida nyingine ni mifuko ya pensheni ya PSSSF na NSSF itaimarika na kuwa endelevu, pia kwa kuwa kanuni mpya inaimarisha mifuko na kuwa endelevu, mifuko itaweza kuongeza pensheni ya kila mwezi kwa kuzingatia tathmini zitakazofanyika kila baada ya miaka mitatu,” alisema.

Vilevile, alisema wanachama wote wanaochangia kwenye mifuko ya pensheni watatumia kanuni moja ya mafao na hivyo kuweka uwiano na usawa wa mafao baina ya wastaafu.

Katibu huyo alisema serikali imeweka utaratibu wa kutoa elimu kwa wanachama na umma kuhusu kanuni hizo ili kuhakikisha wote wanakuwa na uelewa sahihi na faida zake.

“Nitoe rai kwa wananchi kuendelea kuiamini serikali sikivu inayoongoza na nishukuru wadau wa utatu kwa kazi nzuri ya pamoja iliyofanyika kwa weledi na uzalendo,” alisema.

KAULI ZA WADAU

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Tumaini Nyamhokya, alisema upangaji wa kanuni hizo umekuwa shirikishi na zimeridhiwa na wadau na hakuna eneo walilofichwa.

Alisema pamoja na hayo walikubaliana wasiende chini ya asilimia 35 lakini serikali na wataalamu kutoka nje walishauri kufikia asilimia 33 ili wafanyakazi wasiongeze michango ya kuchangia na mifuko iendelee kuwa endelevu.

“Tulikuwa tunapata asilimia 50 ya mkupuo halafu asilimia 50 nyingine tulikuwa tunapata malipo ya kila mwezi, lakini sasa imebadilishwa asilimia 33 ya mkupuo halafu asilimia 67 tutaipata kwa mwezi, hakuna namna inabidi tulipokee, wafanyakazi zoezi hili limekuwa shirikishi, sekta binafsi tumechukua TUICO wameshiriki ndani,” alisema.

Alisema watumishi wanaochangia mifuko ya NSSF, PPF, GEPF, mkupuo wao umepanda kutoka asilimia 25 na kufikia asilimia 33.

“Kwa wao ni furaha kubwa sana sisi tulikuwa tunapata asilimia 50 tumeshuka na sasa itakuwa asilimia 33, niwasihi tulipokee hili wafanyakazi kwetu sisi ni gumu kumeza lakini ni kwa mustakabali wa uendelevu kwa vizazi vinavyokuja, tusimame pamoja kwenye hili,” alisema.

Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Waajiri Nchini (ATE), Suzanne Ndomba, alisema waajiri, wafanyakazi na serikali walikaa wote kwa pamoja kutengeneza kanuni hizo ambazo zimezingatia utaalamu na wataalamu walikuwa wa pande wote.

“Niwasihi wafanyakazi na waajiri, serikali itaendelea kutoa elimu na wale waajiri wenye maswali waje ATE tutasaidia kuchukua na kupeleka serikalini ili kupata ufumbuzi,”alisema.

Kaimu Rais wa Chama cha Walimu (CWT), Dinnah Mathamani, alisema jambo hilo limefanyiwa kazi kwa muda mrefu na wameshirikishana.

“Kwa upande wetu ambao kikokotoo kilikuwa asilimia 50 na kushushwa kuwa asilimia 33 nadhani tutapata mshtuko lakini hali ndivyo ilivyo kwa kuwa tumeelezwa kwanini tumefikia hapa, faida zake bila kujali waliokuwa asilimia 50, au asilimia 25 lakini kubwa ni mifuko kuwa endelevu,” alisema.

Aliwaomba walimu wawe na utulivu, watapewa elimu na kueleweshwa, akisema: “Tukipata elimu kwa ujumla hakutakuwa na shida, sisi tumeshirikishwa kwenye kamati elekezi na tumepitishwa na wataalamu, sisi walimu tumelipokea na tutaendelea kutoa elimu kwa ambao hawajaelewa."
 
HATIMAYE serikali imetangaza kikokotoo kipya cha mafao ya wastaafu, safari hii kukishuhudiwa kuwapo kwa usawa na uwiano kati ya watumishi wa umma na sekta binafsi.

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na wenye Ulemavu, Prof. Jamal Katundu, akizungumza na waandishi wa habari, jijini Dodoma jana, wakati akitoa taarifa kuhusu kanuni mpya za kikokotoo cha mafao ya watumishi nchini. PICHA: IBRAHIM JOSEPH

Kutangazwa kwa kanuni hizo ni hitimisho la sintofahamu ya mafao hayo iliyodumu kwa takribani miaka nne tangu mwaka 2018 serikali ilipositisha utekelezaji wa kanuni mpya za mafao kwa wastaafu zilizotaka kiwango cha mkupuo kiwe asilimia 25.

Kutokana na kuwapo kwa malalamiko ya wadau dhidi ya kanuni hizo Rais wa wakati huo, Dk. John Magufuli alilazimika kuzisitisha mwaka huo ili kutoa muda kujadili na Mei 14 mwaka huu, Rais Samia Suluhu Hassan aliliridhia ombi la wadau wa hifadhi ya jamii kupandisha kiwango cha kikokotoo kutoka asilimia 25 hadi 33.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa jana, mwenyekiti wa kamati elekezi ya kanuni hizo ambaye ni Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Prof. Jamal Katundu, alisema waziri wenye dhamana na masuala ya hifadhi ya jamii aliunda kamati hiyo ili kutekeleza maelekezo ya serikali ya kukubaliana kanuni itakayowianisha mafao kwa wafanyakazi wote.

Alisema kamati hiyo ilifanya kazi yake kwa kuzingatia mambo makubwa mawili ambayo ni kuhakikisha kanuni mpya inayopendekezwa inatoa mafao bora kwa wastaafu na pia mifuko inakuwa endelevu kwa manufaa ya wananchi wote.

“Kazi ya kamati ya kuandaa kanuni itakayotumika baada ya kipindi cha mpito imekamilika na kuridhiwa na wadau, kanuni mpya iliyoridhiwa itaanza kutumika rasmi Julai Mosi mwaka 2022,” alisema.

MAFAO YATAKAVYOKUWA

Prof. Katundu alisema kiwango cha mkupuo cha asilimia 33 ni kwa mifuko yote na kikokotoo limbikizi kitakuwa 1/580 kama ilivyokuwa kwa mfuko wa NSSF na ilivyokuwa mifuko ya PPF, GEPF na baadhi ya wanachama wa iliyokuwa PSPF na LAPF.

“Makadirio ya miaka ya kuishi baada ya kustaafu ni 12.5 kama ilivyo kwa mfuko wa NSSF na iliyokuwa mifuko ya PPF, GEPF na baadhi ya wanachama wa iliyokuwa PSPF na LAPF,” alisema.

Alisema mshahara wa kukokotolea mafao ya pensheni utakuwa wastani wa mishahara bora ya miaka mitatu ndani ya miaka 10 kabla kustaafu na umri wa kustaafu kwa lazima utaendelea kuwa miaka 60.

“Pia niwafahamishe kuwa pensheni za wastaafu watakaotumia kanuni hizi zitakuwa zikihuishwa mara kwa mara kwa kuzingatia mfumuko wa bei na uwezo wa mifuko hiyo ya pensheni,” alisema.

FAIDA ZA KANUNI MPYA

Katibu Mkuu huyo alisema kanuni hizo zitaongeza kiwango cha malipo ya mkupuo kutoka asilimia 25 iliyokataliwa mwaka 2018 hadi asilimia 33 kwa wanachama 1,364,050 sawa na asilimia 81 ya wanachama wote 1,690,187 wa mifuko ya pensheni.

Pia alisema inaongeza pensheni ya mwezi kutoka asilimia 50 ya sasa hadi asilimia 67 kwa waliokuwa wanachama wa PSPF na LAPF ambao ni asilimia 19 ya wanachama wote wa mifuko ya pensheni.

“Faida nyingine ni mifuko ya pensheni ya PSSSF na NSSF itaimarika na kuwa endelevu, pia kwa kuwa kanuni mpya inaimarisha mifuko na kuwa endelevu, mifuko itaweza kuongeza pensheni ya kila mwezi kwa kuzingatia tathmini zitakazofanyika kila baada ya miaka mitatu,” alisema.

Vilevile, alisema wanachama wote wanaochangia kwenye mifuko ya pensheni watatumia kanuni moja ya mafao na hivyo kuweka uwiano na usawa wa mafao baina ya wastaafu.

Katibu huyo alisema serikali imeweka utaratibu wa kutoa elimu kwa wanachama na umma kuhusu kanuni hizo ili kuhakikisha wote wanakuwa na uelewa sahihi na faida zake.

“Nitoe rai kwa wananchi kuendelea kuiamini serikali sikivu inayoongoza na nishukuru wadau wa utatu kwa kazi nzuri ya pamoja iliyofanyika kwa weledi na uzalendo,” alisema.

KAULI ZA WADAU

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Tumaini Nyamhokya, alisema upangaji wa kanuni hizo umekuwa shirikishi na zimeridhiwa na wadau na hakuna eneo walilofichwa.

Alisema pamoja na hayo walikubaliana wasiende chini ya asilimia 35 lakini serikali na wataalamu kutoka nje walishauri kufikia asilimia 33 ili wafanyakazi wasiongeze michango ya kuchangia na mifuko iendelee kuwa endelevu.

“Tulikuwa tunapata asilimia 50 ya mkupuo halafu asilimia 50 nyingine tulikuwa tunapata malipo ya kila mwezi, lakini sasa imebadilishwa asilimia 33 ya mkupuo halafu asilimia 67 tutaipata kwa mwezi, hakuna namna inabidi tulipokee, wafanyakazi zoezi hili limekuwa shirikishi, sekta binafsi tumechukua TUICO wameshiriki ndani,” alisema.

Alisema watumishi wanaochangia mifuko ya NSSF, PPF, GEPF, mkupuo wao umepanda kutoka asilimia 25 na kufikia asilimia 33.

“Kwa wao ni furaha kubwa sana sisi tulikuwa tunapata asilimia 50 tumeshuka na sasa itakuwa asilimia 33, niwasihi tulipokee hili wafanyakazi kwetu sisi ni gumu kumeza lakini ni kwa mustakabali wa uendelevu kwa vizazi vinavyokuja, tusimame pamoja kwenye hili,” alisema.

Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Waajiri Nchini (ATE), Suzanne Ndomba, alisema waajiri, wafanyakazi na serikali walikaa wote kwa pamoja kutengeneza kanuni hizo ambazo zimezingatia utaalamu na wataalamu walikuwa wa pande wote.

“Niwasihi wafanyakazi na waajiri, serikali itaendelea kutoa elimu na wale waajiri wenye maswali waje ATE tutasaidia kuchukua na kupeleka serikalini ili kupata ufumbuzi,”alisema.

Kaimu Rais wa Chama cha Walimu (CWT), Dinnah Mathamani, alisema jambo hilo limefanyiwa kazi kwa muda mrefu na wameshirikishana.

“Kwa upande wetu ambao kikokotoo kilikuwa asilimia 50 na kushushwa kuwa asilimia 33 nadhani tutapata mshtuko lakini hali ndivyo ilivyo kwa kuwa tumeelezwa kwanini tumefikia hapa, faida zake bila kujali waliokuwa asilimia 50, au asilimia 25 lakini kubwa ni mifuko kuwa endelevu,” alisema.

Aliwaomba walimu wawe na utulivu, watapewa elimu na kueleweshwa, akisema: “Tukipata elimu kwa ujumla hakutakuwa na shida, sisi tumeshirikishwa kwenye kamati elekezi na tumepitishwa na wataalamu, sisi walimu tumelipokea na tutaendelea kutoa elimu kwa ambao hawajaelewa."
Umeeleza vizuri sana
 
Watumishi wengi wameelewa kuwa serikali imepandisha pensheni za watumishi watakapostaafu. Hii si kweli, tuwe wazi. Ikilinganishwa na kabla ya mifuko hii ya pensheni kuunganishwa, kikokotoo (formula) hiki kipya kimepunguza pensheni hizi kwa watumishi wote kwa kiasi fulani.

Denominator kwenye formula hiyo kwa watumishi waliokuwa kwenye mfuko wa PSPF imeongezwa kutoka 540 hadi 580. Pia kwenye kipengele mojawapo ya numerator kwenye formula hiyo imepunguzwa kutoka kiasi cha mshahara wa mwezi wa mwisho na sasa kuwa wastani wa mishahara ya miaka 3 nyuma kwa mwezi. Matokeo ya jawabu la kikokotoo hicho (commuted pension) linakuwa dogo ukilinganisha na la awali. Asilimia 50% ya jawabu hili ilikuwa inalipwa kwa mkupuo, sasa ni asilimia 33% tu ndiyo italipwa kwa mkupuo. Asilimia 50% inayobaki kwenye kikokotoo hicho ilikuwa inagawanywa kwa 12 kupata kiasi ambacho mtumishi atakuwa analipwa kila mwezi hadi atakapoiaga hii dunia, ikitarajiwa kwamba atakuwa ameiaga dunia ndani ya miaka 12.5 baada ya kustaafu, yaani hataishi zaidi ya umri wa miaka 72.5. Wanaoendelea kuishi baada ya umri huo ni hasara kwa mifuko hii. Bahati nzuri ni wachache. Na kuna tetesi ya kuongeza umri wa kustaafu kuwa miaka 70 ili kuepukana na hii hasara!

Kwa wale waliokuwa NSSF, denominator imebaki pale pale ya 580 ila nao numerator imepunguzwa kwenye kipengele cha mshahara wa mwezi wa mwisho na kuwa wastani wa mishara ya miaka 3 ya mwisho kwa mwezi. Hivyo nao jawabu la commuted pension linaweza kupungua kwa baadhi. Hawa walikuwa wanalipwa 25% ya jawabu hili kwa mkupuo mmoja na ile bakaa ya 75% ilikuwa ikigawa kwa 12 kupata pensheni yao ya kila mwezi hadi watakapoaga dunia hii. Sasa hela yao ya mkupuo imeongezwa kidogo kwa kiasi cha 8% kufikia 33% lakini pensheni yao ya kila mwezi imeteremka kwa asilimia 8%, kutoka 75% hadi 67%. Inawezekana wengi waliokuwa kwenye mfuko huu wamefurahishwa na kikokotozi hiki.

Yote haya ni kulinda mifuko hii isifilisike. Lakini ni nani anayofilisi mifuko hii? Hawa watumishi na waajiri wao wanakuwa wana contribute kwenye mifuko hii kila mwezi kwa mjibu wa sheria. Why the complicated formula? Kwa nini mtumishi asipewe hela zote alizo contribute yeye na waajiri wake kwa mujibu wa sheria plus interest rate?
Kwa nini hiyo formula inayotumika kwa wabunge kupata mkupuo wao wa utumishi wa miaka mitano bungeni isitumike na kwa hawa wengine? Kwanini ile pensheni ya kila mwezi isiwe tagged kama asilimia fulani (say 50%) ya mshahara wa yule aliye kazini mwenye cheo kinacholingana na mstaafu alichokuwa nacho kabla ya kustaafu? Mbona wapo wengi tu serikalini wanafanyiwa hivyo eg CAG mstaafu?
 
Watumishi wengi wameelewa kuwa imepandisha pensheni za watumishi watakapostaafu. Hii si kweli, tuwe wazi. Ikilinganishwa na kabla ya mifuko hii ya pensheni kuunganishwa, kikokotoo (formula) hiki kipya kimepunguza pensheni hizi kwa watumishi wote kwa kiasi fulani.

Denominator kwenye formula hiyo kwa watumishi waliokuwa kwenye mfuko wa PSPF imeongezwa kutoka 540 hadi 580. Pia numerator kwenye formula hiyo imepunguzwa kutoka kiasi cha mshahara wa mwezi wa mwisho na sasa kuwa wastani wa mishahara ya miaka 3 nyuma kwa mwezi. Matokeo ya jawabu la kikokotoo hicho (commuted pension) linakuwa dogo ukilinganisha na la awali. Asilimia 50% ya jawabu hili ilikuwa inalipwa kwa mkupuo, sasa ni asilimia 33% tu ndiyo italipwa kwa mkupuo. Asilimia 50% inayobaki kwenye kikokotoo hicho ilikuwa inagawanywa kwa 12 kupata kiasi ambacho mtumishi atakuwa analipwa kila mwezi hadi atakapoiaga hii dunia, ikitarajiwa kwamba atakuwa ameiaga dunia ndani ya miaka 12.5 baada ya kustaafu, yaani hataishi zaidi ya umri wa miaka 72.5

Kwa wale waliokuwa NSSF, denominator imebaki pale pale ya 580 ila nao numerator imepunguzwa kwenye kipengele cha mshahara wa mwezi wa mwisho na kuwa wastani wa mishara ya miaka 3 ya mwisho kwa mwezi. Hivyo nao jawabu la commuted pension linaweza kupungua kwa baadhi. Hawa walikuwa wanalipwa 25% ya jawabu hili kwa mkupuo mmoja na ile bakaa ya 75% ilikuwa ikigawa kwa 12 kupata pensheni yao ya kila mwezi hadi watakapoaga dunia hii. Sasa hela yao ya mkupuo imeongezwa kidogo kwa kiasi cha 8% kufikia 33% lakini pensheni yao ya kila mwezi imeteremka kwa asilimia 8%, kutoka 75% hadi 67%.

Yote haya ni kulinda mifuko hii isifilisike. Lakini ni nani anayofilisi mifuko hii? Hawa watumishi na waajiri wao wanakuwa wana contribute kwenye mifuko hii kila mwezi kwa mjibu wa sheria. Why the complicated formula? Kwa nini mtumishi asipewe hela zote alizo contribute yeye na waajiri wake kwa mujibu wa sheria plus interest rate?
Kwa nini hiyo formula inayotumika kwa wabunge kupata mkupuo wao wa utumishi wa miaka mitano bungeni isitumike na kwa hawa wengine? Kwanini ile pensheni ya kila mwezi isiwe tagged kama asilimia fulani (say 50%) ya mshahara wa yule aliye kazini mwenye cheo kinacholingana na mstaafu alichokuwa nacho kabla ya kustaafu? Mbona wapo wengi tu serikalini wanafanyiwa hivyo eg CAG mstaafu?
Mkuu nchi hii imejaa mijitu ya ajabu sana na iliyolaaniwa, hasa jitu lililokaa chini na kubuni mbinu hii ya kuwaibia wafanyakazi, ndilo linapaswa kulaumiwa na, kwa hakika, limelaaniwa na Mungu na pia kizazi chake chote kitaendelea kulaaniwa hadi Yesu atakaporudi.
 
Watumishi wengi wameelewa kuwa serikali imepandisha pensheni za watumishi watakapostaafu. Hii si kweli, tuwe wazi. Ikilinganishwa na kabla ya mifuko hii ya pensheni kuunganishwa, kikokotoo (formula) hiki kipya kimepunguza pensheni hizi kwa watumishi wote kwa kiasi fulani.

Denominator kwenye formula hiyo kwa watumishi waliokuwa kwenye mfuko wa PSPF imeongezwa kutoka 540 hadi 580. Pia kwenye kipengele mojawapo ya numerator kwenye formula hiyo imepunguzwa kutoka kiasi cha mshahara wa mwezi wa mwisho na sasa kuwa wastani wa mishahara ya miaka 3 nyuma kwa mwezi. Matokeo ya jawabu la kikokotoo hicho (commuted pension) linakuwa dogo ukilinganisha na la awali. Asilimia 50% ya jawabu hili ilikuwa inalipwa kwa mkupuo, sasa ni asilimia 33% tu ndiyo italipwa kwa mkupuo. Asilimia 50% inayobaki kwenye kikokotoo hicho ilikuwa inagawanywa kwa 12 kupata kiasi ambacho mtumishi atakuwa analipwa kila mwezi hadi atakapoiaga hii dunia, ikitarajiwa kwamba atakuwa ameiaga dunia ndani ya miaka 12.5 baada ya kustaafu, yaani hataishi zaidi ya umri wa miaka 72.5. Wanaoendelea kuishi baada ya umri huo ni hasara kwa mifuko hii. Bahati nzuri ni wachache. Na kuna tetesi ya kuongeza umri wa kustaafu kuwa miaka 70 ili kuepukana na hii hasara!

Kwa wale waliokuwa NSSF, denominator imebaki pale pale ya 580 ila nao numerator imepunguzwa kwenye kipengele cha mshahara wa mwezi wa mwisho na kuwa wastani wa mishara ya miaka 3 ya mwisho kwa mwezi. Hivyo nao jawabu la commuted pension linaweza kupungua kwa baadhi. Hawa walikuwa wanalipwa 25% ya jawabu hili kwa mkupuo mmoja na ile bakaa ya 75% ilikuwa ikigawa kwa 12 kupata pensheni yao ya kila mwezi hadi watakapoaga dunia hii. Sasa hela yao ya mkupuo imeongezwa kidogo kwa kiasi cha 8% kufikia 33% lakini pensheni yao ya kila mwezi imeteremka kwa asilimia 8%, kutoka 75% hadi 67%. Inawezekana wengi waliokuwa kwenye mfuko huu wamefurahishwa na kikokotozi hiki.

Yote haya ni kulinda mifuko hii isifilisike. Lakini ni nani anayofilisi mifuko hii? Hawa watumishi na waajiri wao wanakuwa wana contribute kwenye mifuko hii kila mwezi kwa mjibu wa sheria. Why the complicated formula? Kwa nini mtumishi asipewe hela zote alizo contribute yeye na waajiri wake kwa mujibu wa sheria plus interest rate?
Kwa nini hiyo formula inayotumika kwa wabunge kupata mkupuo wao wa utumishi wa miaka mitano bungeni isitumike na kwa hawa wengine? Kwanini ile pensheni ya kila mwezi isiwe tagged kama asilimia fulani (say 50%) ya mshahara wa yule aliye kazini mwenye cheo kinacholingana na mstaafu alichokuwa nacho kabla ya kustaafu? Mbona wapo wengi tu serikalini wanafanyiwa hivyo eg CAG mstaafu?
Kaka umetoa ufafanuzi mzuri sana,kufanya kazi katika Serikali hii ya CCM ni mateso sana basi tu sometime we have no option.
 
Mwandishi wa thre
HATIMAYE serikali imetangaza kikokotoo kipya cha mafao ya wastaafu, safari hii kukishuhudiwa kuwapo kwa usawa na uwiano kati ya watumishi wa umma na sekta binafsi.

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na wenye Ulemavu, Prof. Jamal Katundu, akizungumza na waandishi wa habari, jijini Dodoma jana, wakati akitoa taarifa kuhusu kanuni mpya za kikokotoo cha mafao ya watumishi nchini. PICHA: IBRAHIM JOSEPH

Kutangazwa kwa kanuni hizo ni hitimisho la sintofahamu ya mafao hayo iliyodumu kwa takribani miaka nne tangu mwaka 2018 serikali ilipositisha utekelezaji wa kanuni mpya za mafao kwa wastaafu zilizotaka kiwango cha mkupuo kiwe asilimia 25.

Kutokana na kuwapo kwa malalamiko ya wadau dhidi ya kanuni hizo Rais wa wakati huo, Dk. John Magufuli alilazimika kuzisitisha mwaka huo ili kutoa muda kujadili na Mei 14 mwaka huu, Rais Samia Suluhu Hassan aliliridhia ombi la wadau wa hifadhi ya jamii kupandisha kiwango cha kikokotoo kutoka asilimia 25 hadi 33.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa jana, mwenyekiti wa kamati elekezi ya kanuni hizo ambaye ni Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Prof. Jamal Katundu, alisema waziri wenye dhamana na masuala ya hifadhi ya jamii aliunda kamati hiyo ili kutekeleza maelekezo ya serikali ya kukubaliana kanuni itakayowianisha mafao kwa wafanyakazi wote.

Alisema kamati hiyo ilifanya kazi yake kwa kuzingatia mambo makubwa mawili ambayo ni kuhakikisha kanuni mpya inayopendekezwa inatoa mafao bora kwa wastaafu na pia mifuko inakuwa endelevu kwa manufaa ya wananchi wote.

“Kazi ya kamati ya kuandaa kanuni itakayotumika baada ya kipindi cha mpito imekamilika na kuridhiwa na wadau, kanuni mpya iliyoridhiwa itaanza kutumika rasmi Julai Mosi mwaka 2022,” alisema.

MAFAO YATAKAVYOKUWA

Prof. Katundu alisema kiwango cha mkupuo cha asilimia 33 ni kwa mifuko yote na kikokotoo limbikizi kitakuwa 1/580 kama ilivyokuwa kwa mfuko wa NSSF na ilivyokuwa mifuko ya PPF, GEPF na baadhi ya wanachama wa iliyokuwa PSPF na LAPF.

“Makadirio ya miaka ya kuishi baada ya kustaafu ni 12.5 kama ilivyo kwa mfuko wa NSSF na iliyokuwa mifuko ya PPF, GEPF na baadhi ya wanachama wa iliyokuwa PSPF na LAPF,” alisema.

Alisema mshahara wa kukokotolea mafao ya pensheni utakuwa wastani wa mishahara bora ya miaka mitatu ndani ya miaka 10 kabla kustaafu na umri wa kustaafu kwa lazima utaendelea kuwa miaka 60.

“Pia niwafahamishe kuwa pensheni za wastaafu watakaotumia kanuni hizi zitakuwa zikihuishwa mara kwa mara kwa kuzingatia mfumuko wa bei na uwezo wa mifuko hiyo ya pensheni,” alisema.

FAIDA ZA KANUNI MPYA

Katibu Mkuu huyo alisema kanuni hizo zitaongeza kiwango cha malipo ya mkupuo kutoka asilimia 25 iliyokataliwa mwaka 2018 hadi asilimia 33 kwa wanachama 1,364,050 sawa na asilimia 81 ya wanachama wote 1,690,187 wa mifuko ya pensheni.

Pia alisema inaongeza pensheni ya mwezi kutoka asilimia 50 ya sasa hadi asilimia 67 kwa waliokuwa wanachama wa PSPF na LAPF ambao ni asilimia 19 ya wanachama wote wa mifuko ya pensheni.

“Faida nyingine ni mifuko ya pensheni ya PSSSF na NSSF itaimarika na kuwa endelevu, pia kwa kuwa kanuni mpya inaimarisha mifuko na kuwa endelevu, mifuko itaweza kuongeza pensheni ya kila mwezi kwa kuzingatia tathmini zitakazofanyika kila baada ya miaka mitatu,” alisema.

Vilevile, alisema wanachama wote wanaochangia kwenye mifuko ya pensheni watatumia kanuni moja ya mafao na hivyo kuweka uwiano na usawa wa mafao baina ya wastaafu.

Katibu huyo alisema serikali imeweka utaratibu wa kutoa elimu kwa wanachama na umma kuhusu kanuni hizo ili kuhakikisha wote wanakuwa na uelewa sahihi na faida zake.

“Nitoe rai kwa wananchi kuendelea kuiamini serikali sikivu inayoongoza na nishukuru wadau wa utatu kwa kazi nzuri ya pamoja iliyofanyika kwa weledi na uzalendo,” alisema.

KAULI ZA WADAU

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Tumaini Nyamhokya, alisema upangaji wa kanuni hizo umekuwa shirikishi na zimeridhiwa na wadau na hakuna eneo walilofichwa.

Alisema pamoja na hayo walikubaliana wasiende chini ya asilimia 35 lakini serikali na wataalamu kutoka nje walishauri kufikia asilimia 33 ili wafanyakazi wasiongeze michango ya kuchangia na mifuko iendelee kuwa endelevu.

“Tulikuwa tunapata asilimia 50 ya mkupuo halafu asilimia 50 nyingine tulikuwa tunapata malipo ya kila mwezi, lakini sasa imebadilishwa asilimia 33 ya mkupuo halafu asilimia 67 tutaipata kwa mwezi, hakuna namna inabidi tulipokee, wafanyakazi zoezi hili limekuwa shirikishi, sekta binafsi tumechukua TUICO wameshiriki ndani,” alisema.

Alisema watumishi wanaochangia mifuko ya NSSF, PPF, GEPF, mkupuo wao umepanda kutoka asilimia 25 na kufikia asilimia 33.

“Kwa wao ni furaha kubwa sana sisi tulikuwa tunapata asilimia 50 tumeshuka na sasa itakuwa asilimia 33, niwasihi tulipokee hili wafanyakazi kwetu sisi ni gumu kumeza lakini ni kwa mustakabali wa uendelevu kwa vizazi vinavyokuja, tusimame pamoja kwenye hili,” alisema.

Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Waajiri Nchini (ATE), Suzanne Ndomba, alisema waajiri, wafanyakazi na serikali walikaa wote kwa pamoja kutengeneza kanuni hizo ambazo zimezingatia utaalamu na wataalamu walikuwa wa pande wote.

“Niwasihi wafanyakazi na waajiri, serikali itaendelea kutoa elimu na wale waajiri wenye maswali waje ATE tutasaidia kuchukua na kupeleka serikalini ili kupata ufumbuzi,”alisema.

Kaimu Rais wa Chama cha Walimu (CWT), Dinnah Mathamani, alisema jambo hilo limefanyiwa kazi kwa muda mrefu na wameshirikishana.

“Kwa upande wetu ambao kikokotoo kilikuwa asilimia 50 na kushushwa kuwa asilimia 33 nadhani tutapata mshtuko lakini hali ndivyo ilivyo kwa kuwa tumeelezwa kwanini tumefikia hapa, faida zake bila kujali waliokuwa asilimia 50, au asilimia 25 lakini kubwa ni mifuko kuwa endelevu,” alisema.

Aliwaomba walimu wawe na utulivu, watapewa elimu na kueleweshwa, akisema: “Tukipata elimu kwa ujumla hakutakuwa na shida, sisi tumeshirikishwa kwenye kamati elekezi na tumepitishwa na wataalamu, sisi walimu tumelipokea na tutaendelea kutoa elimu kwa ambao hawajaelewa."
Mwandishi wa thread hii ni Mbunge au KUWADI wa mbunge.

Kuelekea kuandika KATIBA mpya, mshahara na Posho za wabunge na marupurupu Yao yaangaliwe upya.

Manufaa Yao yazizidi mishahara ya Professionals ktk taasisi mbalimbali Ili kuzuia wimbi kubwa la wataalamu kukimbilia Bungeni.

Pia WAZIRI asitokane na WABUNGE. Hii itasababisha WAHUNI kutoingia bungeni, Mbunge atakuwa ni mtu mzalendo na mwenye mapendo na Nchi yake, Si kama sasa ilivyo.

Utaona Matajiri wa kuagiza na kuuza petroli wanakimbilia bungeni Ili kulinda Maslahi Yao kuwakandamiza wananchi.

Hii haikubaliki. Amen
 
HATIMAYE serikali imetangaza kikokotoo kipya cha mafao ya wastaafu, safari hii kukishuhudiwa kuwapo kwa usawa na uwiano kati ya watumishi wa umma na sekta binafsi.

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na wenye Ulemavu, Prof. Jamal Katundu, akizungumza na waandishi wa habari, jijini Dodoma jana, wakati akitoa taarifa kuhusu kanuni mpya za kikokotoo cha mafao ya watumishi nchini. PICHA: IBRAHIM JOSEPH

Kutangazwa kwa kanuni hizo ni hitimisho la sintofahamu ya mafao hayo iliyodumu kwa takribani miaka nne tangu mwaka 2018 serikali ilipositisha utekelezaji wa kanuni mpya za mafao kwa wastaafu zilizotaka kiwango cha mkupuo kiwe asilimia 25.

Kutokana na kuwapo kwa malalamiko ya wadau dhidi ya kanuni hizo Rais wa wakati huo, Dk. John Magufuli alilazimika kuzisitisha mwaka huo ili kutoa muda kujadili na Mei 14 mwaka huu, Rais Samia Suluhu Hassan aliliridhia ombi la wadau wa hifadhi ya jamii kupandisha kiwango cha kikokotoo kutoka asilimia 25 hadi 33.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa jana, mwenyekiti wa kamati elekezi ya kanuni hizo ambaye ni Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Prof. Jamal Katundu, alisema waziri wenye dhamana na masuala ya hifadhi ya jamii aliunda kamati hiyo ili kutekeleza maelekezo ya serikali ya kukubaliana kanuni itakayowianisha mafao kwa wafanyakazi wote.

Alisema kamati hiyo ilifanya kazi yake kwa kuzingatia mambo makubwa mawili ambayo ni kuhakikisha kanuni mpya inayopendekezwa inatoa mafao bora kwa wastaafu na pia mifuko inakuwa endelevu kwa manufaa ya wananchi wote.

“Kazi ya kamati ya kuandaa kanuni itakayotumika baada ya kipindi cha mpito imekamilika na kuridhiwa na wadau, kanuni mpya iliyoridhiwa itaanza kutumika rasmi Julai Mosi mwaka 2022,” alisema.

MAFAO YATAKAVYOKUWA

Prof. Katundu alisema kiwango cha mkupuo cha asilimia 33 ni kwa mifuko yote na kikokotoo limbikizi kitakuwa 1/580 kama ilivyokuwa kwa mfuko wa NSSF na ilivyokuwa mifuko ya PPF, GEPF na baadhi ya wanachama wa iliyokuwa PSPF na LAPF.

“Makadirio ya miaka ya kuishi baada ya kustaafu ni 12.5 kama ilivyo kwa mfuko wa NSSF na iliyokuwa mifuko ya PPF, GEPF na baadhi ya wanachama wa iliyokuwa PSPF na LAPF,” alisema.

Alisema mshahara wa kukokotolea mafao ya pensheni utakuwa wastani wa mishahara bora ya miaka mitatu ndani ya miaka 10 kabla kustaafu na umri wa kustaafu kwa lazima utaendelea kuwa miaka 60.

“Pia niwafahamishe kuwa pensheni za wastaafu watakaotumia kanuni hizi zitakuwa zikihuishwa mara kwa mara kwa kuzingatia mfumuko wa bei na uwezo wa mifuko hiyo ya pensheni,” alisema.

FAIDA ZA KANUNI MPYA

Katibu Mkuu huyo alisema kanuni hizo zitaongeza kiwango cha malipo ya mkupuo kutoka asilimia 25 iliyokataliwa mwaka 2018 hadi asilimia 33 kwa wanachama 1,364,050 sawa na asilimia 81 ya wanachama wote 1,690,187 wa mifuko ya pensheni.

Pia alisema inaongeza pensheni ya mwezi kutoka asilimia 50 ya sasa hadi asilimia 67 kwa waliokuwa wanachama wa PSPF na LAPF ambao ni asilimia 19 ya wanachama wote wa mifuko ya pensheni.

“Faida nyingine ni mifuko ya pensheni ya PSSSF na NSSF itaimarika na kuwa endelevu, pia kwa kuwa kanuni mpya inaimarisha mifuko na kuwa endelevu, mifuko itaweza kuongeza pensheni ya kila mwezi kwa kuzingatia tathmini zitakazofanyika kila baada ya miaka mitatu,” alisema.

Vilevile, alisema wanachama wote wanaochangia kwenye mifuko ya pensheni watatumia kanuni moja ya mafao na hivyo kuweka uwiano na usawa wa mafao baina ya wastaafu.

Katibu huyo alisema serikali imeweka utaratibu wa kutoa elimu kwa wanachama na umma kuhusu kanuni hizo ili kuhakikisha wote wanakuwa na uelewa sahihi na faida zake.

“Nitoe rai kwa wananchi kuendelea kuiamini serikali sikivu inayoongoza na nishukuru wadau wa utatu kwa kazi nzuri ya pamoja iliyofanyika kwa weledi na uzalendo,” alisema.

KAULI ZA WADAU

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Tumaini Nyamhokya, alisema upangaji wa kanuni hizo umekuwa shirikishi na zimeridhiwa na wadau na hakuna eneo walilofichwa.

Alisema pamoja na hayo walikubaliana wasiende chini ya asilimia 35 lakini serikali na wataalamu kutoka nje walishauri kufikia asilimia 33 ili wafanyakazi wasiongeze michango ya kuchangia na mifuko iendelee kuwa endelevu.

“Tulikuwa tunapata asilimia 50 ya mkupuo halafu asilimia 50 nyingine tulikuwa tunapata malipo ya kila mwezi, lakini sasa imebadilishwa asilimia 33 ya mkupuo halafu asilimia 67 tutaipata kwa mwezi, hakuna namna inabidi tulipokee, wafanyakazi zoezi hili limekuwa shirikishi, sekta binafsi tumechukua TUICO wameshiriki ndani,” alisema.

Alisema watumishi wanaochangia mifuko ya NSSF, PPF, GEPF, mkupuo wao umepanda kutoka asilimia 25 na kufikia asilimia 33.

“Kwa wao ni furaha kubwa sana sisi tulikuwa tunapata asilimia 50 tumeshuka na sasa itakuwa asilimia 33, niwasihi tulipokee hili wafanyakazi kwetu sisi ni gumu kumeza lakini ni kwa mustakabali wa uendelevu kwa vizazi vinavyokuja, tusimame pamoja kwenye hili,” alisema.

Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Waajiri Nchini (ATE), Suzanne Ndomba, alisema waajiri, wafanyakazi na serikali walikaa wote kwa pamoja kutengeneza kanuni hizo ambazo zimezingatia utaalamu na wataalamu walikuwa wa pande wote.

“Niwasihi wafanyakazi na waajiri, serikali itaendelea kutoa elimu na wale waajiri wenye maswali waje ATE tutasaidia kuchukua na kupeleka serikalini ili kupata ufumbuzi,”alisema.

Kaimu Rais wa Chama cha Walimu (CWT), Dinnah Mathamani, alisema jambo hilo limefanyiwa kazi kwa muda mrefu na wameshirikishana.

“Kwa upande wetu ambao kikokotoo kilikuwa asilimia 50 na kushushwa kuwa asilimia 33 nadhani tutapata mshtuko lakini hali ndivyo ilivyo kwa kuwa tumeelezwa kwanini tumefikia hapa, faida zake bila kujali waliokuwa asilimia 50, au asilimia 25 lakini kubwa ni mifuko kuwa endelevu,” alisema.

Aliwaomba walimu wawe na utulivu, watapewa elimu na kueleweshwa, akisema: “Tukipata elimu kwa ujumla hakutakuwa na shida, sisi tumeshirikishwa kwenye kamati elekezi na tumepitishwa na wataalamu, sisi walimu tumelipokea na tutaendelea kutoa elimu kwa ambao hawajaelewa."
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.

CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi ni zitafika tamati hivi punde kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa ‘magunia ya misumari’ ya bei ya juu ya chakula, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.

It’s a matter of time before CCM dynasty comes to an end, and that’s when these unscrupulous rats will apprehend the significance and power of the people. Desolately, CCM have been ignoring and looking down their noses at common Tanzanians for many years. Time has now come when citizens can no longer endure CCM’s tyranny and corrupt rule. Everybody is tired of living like a slave on a land endowed with an assortment of natural wealth which only benefits minority fisadis and a few elites in power while majority Tanzanians lead very miserable lives.

What comes around goes around. Let CCM go to hell for good because they have absolutely failed to uplift the living standards of millions of Tanzanians at the expense of a few fisadis whose gargantuan stomachs never fill up! And no one should be blamed for the hatred and grudge that majority people hold against CCM and their crooked government except fisadis themselves who, horrifically, decided to gnaw the cassava-made boat by which they were sailing!
 
Angalia formula za pensheni za majirani zetu ziko hivi:

1. Kenya formula 2021:
= Number of years in service × 12 months × final annual salary ÷ 480

2. Uganda formula 2021:
= Length of service in months × final annual basic salary ÷ 500

3. Tanzania formula 2022:
= Number of years in service × 12 months × the average monthly salary in the final 36 months of service ÷ 580

Hapo ukikokotoa utajua kwamba sisi ndiyo wa chini kabisa. Uganda wanaongoza kwa kutoa pensheni nono kwa wastaafu wao.
 
HATIMAYE serikali imetangaza kikokotoo kipya cha mafao ya wastaafu, safari hii kukishuhudiwa kuwapo kwa usawa na uwiano kati ya watumishi wa umma na sekta binafsi.

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na wenye Ulemavu, Prof. Jamal Katundu, akizungumza na waandishi wa habari, jijini Dodoma jana, wakati akitoa taarifa kuhusu kanuni mpya za kikokotoo cha mafao ya watumishi nchini. PICHA: IBRAHIM JOSEPH

Kutangazwa kwa kanuni hizo ni hitimisho la sintofahamu ya mafao hayo iliyodumu kwa takribani miaka nne tangu mwaka 2018 serikali ilipositisha utekelezaji wa kanuni mpya za mafao kwa wastaafu zilizotaka kiwango cha mkupuo kiwe asilimia 25.

Kutokana na kuwapo kwa malalamiko ya wadau dhidi ya kanuni hizo Rais wa wakati huo, Dk. John Magufuli alilazimika kuzisitisha mwaka huo ili kutoa muda kujadili na Mei 14 mwaka huu, Rais Samia Suluhu Hassan aliliridhia ombi la wadau wa hifadhi ya jamii kupandisha kiwango cha kikokotoo kutoka asilimia 25 hadi 33.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa jana, mwenyekiti wa kamati elekezi ya kanuni hizo ambaye ni Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Prof. Jamal Katundu, alisema waziri wenye dhamana na masuala ya hifadhi ya jamii aliunda kamati hiyo ili kutekeleza maelekezo ya serikali ya kukubaliana kanuni itakayowianisha mafao kwa wafanyakazi wote.

Alisema kamati hiyo ilifanya kazi yake kwa kuzingatia mambo makubwa mawili ambayo ni kuhakikisha kanuni mpya inayopendekezwa inatoa mafao bora kwa wastaafu na pia mifuko inakuwa endelevu kwa manufaa ya wananchi wote.

“Kazi ya kamati ya kuandaa kanuni itakayotumika baada ya kipindi cha mpito imekamilika na kuridhiwa na wadau, kanuni mpya iliyoridhiwa itaanza kutumika rasmi Julai Mosi mwaka 2022,” alisema.

MAFAO YATAKAVYOKUWA

Prof. Katundu alisema kiwango cha mkupuo cha asilimia 33 ni kwa mifuko yote na kikokotoo limbikizi kitakuwa 1/580 kama ilivyokuwa kwa mfuko wa NSSF na ilivyokuwa mifuko ya PPF, GEPF na baadhi ya wanachama wa iliyokuwa PSPF na LAPF.

“Makadirio ya miaka ya kuishi baada ya kustaafu ni 12.5 kama ilivyo kwa mfuko wa NSSF na iliyokuwa mifuko ya PPF, GEPF na baadhi ya wanachama wa iliyokuwa PSPF na LAPF,” alisema.

Alisema mshahara wa kukokotolea mafao ya pensheni utakuwa wastani wa mishahara bora ya miaka mitatu ndani ya miaka 10 kabla kustaafu na umri wa kustaafu kwa lazima utaendelea kuwa miaka 60.

“Pia niwafahamishe kuwa pensheni za wastaafu watakaotumia kanuni hizi zitakuwa zikihuishwa mara kwa mara kwa kuzingatia mfumuko wa bei na uwezo wa mifuko hiyo ya pensheni,” alisema.

FAIDA ZA KANUNI MPYA

Katibu Mkuu huyo alisema kanuni hizo zitaongeza kiwango cha malipo ya mkupuo kutoka asilimia 25 iliyokataliwa mwaka 2018 hadi asilimia 33 kwa wanachama 1,364,050 sawa na asilimia 81 ya wanachama wote 1,690,187 wa mifuko ya pensheni.

Pia alisema inaongeza pensheni ya mwezi kutoka asilimia 50 ya sasa hadi asilimia 67 kwa waliokuwa wanachama wa PSPF na LAPF ambao ni asilimia 19 ya wanachama wote wa mifuko ya pensheni.

“Faida nyingine ni mifuko ya pensheni ya PSSSF na NSSF itaimarika na kuwa endelevu, pia kwa kuwa kanuni mpya inaimarisha mifuko na kuwa endelevu, mifuko itaweza kuongeza pensheni ya kila mwezi kwa kuzingatia tathmini zitakazofanyika kila baada ya miaka mitatu,” alisema.

Vilevile, alisema wanachama wote wanaochangia kwenye mifuko ya pensheni watatumia kanuni moja ya mafao na hivyo kuweka uwiano na usawa wa mafao baina ya wastaafu.

Katibu huyo alisema serikali imeweka utaratibu wa kutoa elimu kwa wanachama na umma kuhusu kanuni hizo ili kuhakikisha wote wanakuwa na uelewa sahihi na faida zake.

“Nitoe rai kwa wananchi kuendelea kuiamini serikali sikivu inayoongoza na nishukuru wadau wa utatu kwa kazi nzuri ya pamoja iliyofanyika kwa weledi na uzalendo,” alisema.

KAULI ZA WADAU

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Tumaini Nyamhokya, alisema upangaji wa kanuni hizo umekuwa shirikishi na zimeridhiwa na wadau na hakuna eneo walilofichwa.

Alisema pamoja na hayo walikubaliana wasiende chini ya asilimia 35 lakini serikali na wataalamu kutoka nje walishauri kufikia asilimia 33 ili wafanyakazi wasiongeze michango ya kuchangia na mifuko iendelee kuwa endelevu.

“Tulikuwa tunapata asilimia 50 ya mkupuo halafu asilimia 50 nyingine tulikuwa tunapata malipo ya kila mwezi, lakini sasa imebadilishwa asilimia 33 ya mkupuo halafu asilimia 67 tutaipata kwa mwezi, hakuna namna inabidi tulipokee, wafanyakazi zoezi hili limekuwa shirikishi, sekta binafsi tumechukua TUICO wameshiriki ndani,” alisema.

Alisema watumishi wanaochangia mifuko ya NSSF, PPF, GEPF, mkupuo wao umepanda kutoka asilimia 25 na kufikia asilimia 33.

“Kwa wao ni furaha kubwa sana sisi tulikuwa tunapata asilimia 50 tumeshuka na sasa itakuwa asilimia 33, niwasihi tulipokee hili wafanyakazi kwetu sisi ni gumu kumeza lakini ni kwa mustakabali wa uendelevu kwa vizazi vinavyokuja, tusimame pamoja kwenye hili,” alisema.

Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Waajiri Nchini (ATE), Suzanne Ndomba, alisema waajiri, wafanyakazi na serikali walikaa wote kwa pamoja kutengeneza kanuni hizo ambazo zimezingatia utaalamu na wataalamu walikuwa wa pande wote.

“Niwasihi wafanyakazi na waajiri, serikali itaendelea kutoa elimu na wale waajiri wenye maswali waje ATE tutasaidia kuchukua na kupeleka serikalini ili kupata ufumbuzi,”alisema.

Kaimu Rais wa Chama cha Walimu (CWT), Dinnah Mathamani, alisema jambo hilo limefanyiwa kazi kwa muda mrefu na wameshirikishana.

“Kwa upande wetu ambao kikokotoo kilikuwa asilimia 50 na kushushwa kuwa asilimia 33 nadhani tutapata mshtuko lakini hali ndivyo ilivyo kwa kuwa tumeelezwa kwanini tumefikia hapa, faida zake bila kujali waliokuwa asilimia 50, au asilimia 25 lakini kubwa ni mifuko kuwa endelevu,” alisema.

Aliwaomba walimu wawe na utulivu, watapewa elimu na kueleweshwa, akisema: “Tukipata elimu kwa ujumla hakutakuwa na shida, sisi tumeshirikishwa kwenye kamati elekezi na tumepitishwa na wataalamu, sisi walimu tumelipokea na tutaendelea kutoa elimu kwa ambao hawajaelewa."
Hii kanuni Mei Mosi walisema itaanza July 2024 kama walivyokubaliana Enzi za Uhai wa Magufuli na TUCTA. Wafanyakazi Wengi wakakubali na wamejipanga kwa hiyo 2024. Iweje Ghafla wanatoa Mshtuko kwa Watumishi ambao wanastaafu July 2022 wasiojiandaa kwa hiyo 33%? hawajajipanga kwa hilo.??. TUCTA na Serikali acheni kuua Wazee.
 
Mkuu nchi hii imejaa mijitu ya ajabu sana na iliyolaaniwa, hasa jitu lililokaa chini na kubuni mbinu hii ya kuwaibia wafanyakazi, ndilo linapaswa kulaumiwa na, kwa hakika, limelaaniwa na Mungu na pia kizazi chake chote kitaendelea kulaaniwa hadi Yesu atakaporudi.

Da ! Aisee mkuu umefafanua vilivyo ! Nchi hii ni ngumu sana na CCM na sirikali yake ni madhulumati wakubwa !
 
Hoana
Mwandishi wa thre

Mwandishi wa thread hii ni Mbunge au KUWADI wa mbunge.

Kuelekea kuandika KATIBA mpya, mshahara na Posho za wabunge na marupurupu Yao yaangaliwe upya.

Manufaa Yao yazizidi mishahara ya Professionals ktk taasisi mbalimbali Ili kuzuia wimbi kubwa la wataalamu kukimbilia Bungeni.

Pia WAZIRI asitokane na WABUNGE. Hii itasababisha WAHUNI kutoingia bungeni, Mbunge atakuwa ni mtu mzalendo na mwenye mapendo na Nchi yake, Si kama sasa ilivyo.

Utaona Matajiri wa kuagiza na kuuza petroli wanakimbilia bungeni Ili kulinda Maslahi Yao kuwakandamiza wananchi.

Hii haikubaliki. Amen
Kuna mhimili unatakiwa ufutwe. Iwe taasisi yakutunga Sheria, kujadili na kifuatilia (kamati) speaker na wengine sijui wabunge wasiwepo. Kiundwe chombo huru. Ukizingatia Tanzania Ina Masuala common ktk jamii. Halmashauri na madiwani watatosha kuibua ishu huko kwenye mashina(kaya).

Kuwe na Chombo mbadala kiwe na wasomi wasifikie idadi ya 50 na sio bunge. Wawe wachache iwezekanavyo. Wawe Wasomi sio wahuni wahuni. Mchakato wa kuwapata madiwani uwe na maboresho na wawe huru pia. Parliamentary kimekuwa chombo flan hivi sikielewielewi kila mtu, maprof, madaktari wanakilimbilia Kupiga sarakasi, kupora pesa, kutunga vitu walivyo na selfnterest navyo. Wabunge sio wote lkn kundi kubwa linaenjoi maisha ya raia isivyotakiwa. Kwanza hawajali.

Kwa mfano pensheni wanayopewa ni baada ya kufanya nini Cha maana kuliko Dr aliyehudumu kuokoa maisha, mhandisi aliyesaidia ktk umri wake wa kazi kuijenga nchi. Mbunge amejenga nini. Na watakwenda kuongeza umri wa kustaafu wakijua hakuna mtumishi atakayefikia huko, kwa nini wanashindwa kusapoti kustaafu at 55? Ni ubinadamu huo?
 
Mkuu nchi hii imejaa mijitu ya ajabu sana na iliyolaaniwa, hasa jitu lililokaa chini na kubuni mbinu hii ya kuwaibia wafanyakazi, ndilo linapaswa kulaumiwa na, kwa hakika, limelaaniwa na Mungu na pia kizazi chake chote kitaendelea kulaaniwa hadi Yesu atakaporudi.
Tuliolaaniwa zaidi ni sisi wenyewe, tunaiona laana na kuikumbatia kwa mahaba acha itularue
 
Back
Top Bottom