Kikokotoo kipya mafao ya wastaafu kutoka 25% hadi 33%

Ni Kweli kabisa ndugu, Jimbo liwe mkoa Kwa size, wabunge wawe idadi sawa na mikoa iliyopo. Serikali 3 itahusika hapo.

Mbona pale U.K mbunge analipwa mshahara usozidi professionals, mbunge ni mwakilishi wa wananchi. Wenye Upendo na uzalendo ndo wanagombea maana hakuna manufaa ya kifedha makubwa pale.

Na Ukiwa kiongozi unakaguliwa Mali zako na biashara unakabidhi Ili usitafute maslah kupitia uongozi.
Nchi hii UMASKINI wa watu CHANZO ni UONGOZI mbovu wa CCM, Wala Si vita,corona au kingine chochote. Amen
 
Mimi kama mfanyakazi sija participate kwenye hizo discussion zenu. Na ATE hawaja tuhusisha. Acheni kutudanganya na hizo rubber stam unions. Ni staafu at 60, nife at 65, ina maana hela mle nyie?
 
Wanaudhi sana hawa.
 
Ahsante kwa taarifa... fao la kujitoa aje?
 
Mimi kama mfanyakazi sija participate kwenye hizo discussion zenu. Na ATE hawaja tuhusisha. Acheni kutudanganya na hizo rubber stam unions. Ni staafu at 60, nife at 65, ina maana hela mle nyie?
Wameshapitisha ni Sheria. Kasaini Ndalichako. Wanataka kuua Wastaafu wa July 2022 ambao hawakuwaandaa kwa hicho kikokotooo. Magufuli arise uone Wanavyopindua uliyoacha.
 
Wameshapitisha ni Sheria. Kasaini Ndalichako. Wanataka kuua Wastaafu wa July 2022 ambao hawakuwaandaa kwa hicho kikokotooo. Magufuli arise uone Wanavyopindua uliyoacha.
huyo ndio kabisa hata usimuongelee kabisa
 
Sisi ambao hatuna ajira tunazidi kuchanganywa tu

 
Una hoja ya msingi sn
 
Wafanyakazi jitahidini mjenge mgali kazini,hiyo 33% ya mkupuo haitoki yote kwa mkupuo ni kusotea.

Ukifa hiyo 67% ya kila mwezi inakuwaje? Wanapewa wategemezi au ndiyo imetoka kama wapo above 18?

Je sababu za kukataliwa 2018 zimeisha au hata hazikuwepo?
 
Eti kuimarisha mifuko!!
Kwani aliyeidhoofisha ni nani?

Kama hii serikali inatumia fedha hizi za watumishi kujengea miradi yake ikijigamba inatumia fedha za ndani,

Kwa kweli, Siamini kama wizi wa mali ya umma utaisha tz maana serikali yenyewe ndiyo ndiyo inaanza kuiba mali ya watumishi.


Binafsi ninaanza kuwaelewa watumishi wezi wa mali ya umma thats life assurence baada ya kustafu
 
Mibunge ya CCM iliyotunisha matumbo kama vyura kule bungeni na mimacho yao mkiubwa kama ya bundi ndiyo iliyosababisha U.SENGE huu usiovumilika kwa watumishi wa umma.
 
Mibunge ya CCM iliyotunisha matumbo kama vyura kule bungeni na mimacho yao mkiubwa kama ya bundi ndiyo iliyosababisha U.SENGE huu usiovumilika kwa watumishi wa umma.
 
Mkuu bado na hiyo 33% hawapewi kwa mkupuo...!?
 
Mkuu bado na hiyo 33% hawapewi kwa mkupuo...!?
Ndiyo, ila ni matokeo ya Mwajiri kutowasilisha michango kikamilifu kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.

Na wastaafu wote wanachama wa PSSSF wanapitia kadhia hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…