Kikombe Cha Babu

Gily Gru

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2016
Posts
8,632
Reaction score
23,673
Unaweza kukaa nyumbani alafu mwenye Corona kashika nyanya sokoni ile umekata kachumbari unajilamba kumbe unalamba Covid 19 version 2020

Ila babu kalala huko msituni anasubiri akioteshwa ndoto tu basi Corona aka Covid 19 bye bye. Acheni kumsumbua kwenye simu babu yetu anakuwa anashindwa kulala usingizi wa kutosha...
 
Ila asije kusema tu mti wenye dawa anayo mbegu tusubiri mpaka ukue miaka 30 watu wapate tiba tu
 
Leo mzee wa kirangi katafuta center amepakia vitu vyake vyote akimbie Dar es Salaam akimbilie urangini vijijini ajiepushe na Corona yeye na familia. Kwa furaha ya kwenda kuishi na ndugu zake vijijini, akaamua kuwapigia simu awajulishe kuwa yuko njiani anakuja huko kijijini, ameshangazwa na kauli za ndugu zake " we mpumbavu baki huko huko, hatutaki watu wa kutuletea Corona"
 
Jamani mi nahisi tufanye hivi tu..

Asubuhi ukiaamka piga kombe moja la muarobaini pekee Kisha unatulia tena unaandaa maji Moto unachanganya na limao,tangawizi na asali unapiga jikombe lako hilo lamoto😜
Ukishamaliza unatafuta supu moja ya maana ama ya nyama au ya samaki usisahau ka limao na kapilipili😜
Then unapiga zako matunda machungwa nanasi,ndizi n.k bila kusahau mzinga mambo yetu Yale ya kulelengeta! Unatafuta konyagi unatulia unaikunja ila sio kulewa ileile itakuwa vyema ukipata lengelenge lake tu😜 hao wahuni covid wamechachamaa ukilegea wanakulegeza milele😂
Usisahau na mazoezi na jioni unapiga tena jikombe la muarobaini na huo mchanganyiko mwengine unatia jikombe!

Huyu muhuni hana dawa so itabidi tudilinae ktk namna isiyoeleweka maana na yeye haeleweki😂😜

Msichukulie serious ila ukimind fanya😜
 
Ukisikia marehemu alikufa na mavi ya week nzima ndio kwa style hii ulioandika hahah
 
Ukisikia marehemu alikufa na mavi ya week nzima ndio kwa style hii ulioandika hahah
😂😂
Mkuu hakuna sumu hapo hivyo vyote vinatinga tumboni na hakuna shida..
Nyie mmezoea kunywa mijuisi ya viwandani wakati kuna juisi naturali za miarobaini😂 ukinywa unakunja sura mpk izraili mtoa roho akija akikukuta anahairisha anajua kabisa huyu atajifia mwenyewe ngoja nimuache😂 kumbe ndo unajiongezea misiku😂
 

Baada ya Corona kupita watu watakuwa na sura mbaya wakinywa hiyo muarobaini.
Your browser is not able to display this video.
 
Hapo ndio tunaona nguvu ya elimu ni pale inapotumika sasa watu wetu walikusanywa tu
Hapo ndio unaelewa kuwa mtu anaweza kwenda shule na kuwa na amesoma sana ila ile elimu inakuwa haijamkomboa
 
mkuu hapo ulipa chukua jibapa nakuja kulipa..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliweza kuunywa huo mchanganyo anazingua huyo jamaa anaonekana mayai kabisa
Nilikunywa muarobaini na ndio mgumu Bora huo mchanganyiko mwengine usifikiri sijawahi kuinywa hata Kama nimeandika kiutani ila tayari nishainywa mkuu..
 
Nilikunywa muarobaini na ndio mgumu Bora huo mchanganyiko mwengine usifikiri sijawahi kuinywa hata Kama nimeandika kiutani ila tayari nishainywa mkuu..
Muarobaini ukachanganya na asali, malimao na tangawizi, utumbo haujatoboka kweli hahaha
 
 
Muarobaini ukachanganya na asali, malimao na tangawizi, utumbo haujatoboka kweli hahaha
Huelewi ni muarobaini unakuwa pekee na huo mchanganyiko mwengine unakuwa pekee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…