Mabishano na utabili wowote ambao huwa tunafanya kabla ya mechi kuchezwa na matokeo kujulikana huwa ni umbeya. Kwa hivyo hata anayesema ama kutabili Madrid atashinda fainali nao ni umbeya wa kijiweni kama alivyo mbeya alyeitabilia liver ushindi.Uhuu ni umbeya kama umbeya mwingine wa vijiwe vya kahawa
naaaaam!Mabishano na utabili wowote ambao huwa tunafanya kabla ya mechi kuchezwa na matokeo kujulikana huwa ni umbeya. Kwa hivyo hata anayesema ama kutabili Madrid atashinda fainali nao ni umbeya wa kijiweni kama alivyo mbeya alyeitabilia liver ushindi.
Nishakaribia ucjal.karibu tena mkuu