Kikomo cha amkio la shikamoo


labda kwa kuanzia tujue sababu za msingi/ hoja ya msingi ya binadamu kupeana salamu wakutanapo ndio tutajua kama shikamoo mali au la?
 
Kwa sisi wachaga shikamoo anapewa mwenye pesa zaidi.


hahahaha hivi ni kweli???????? kuna jamaa alikuwa anatuambia kuna mzee wa kichaga alikuwa anamsalimia mtoto wake eti 'SHIKAMOO MTOTO WANGU' Kisa mtoto ana hela kumzidi mzee!!! me nilifikiri jamaa alikuwa anatudanganya hasa alivyokuwa anaigiza rafudhi ya kichaga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…