blackandwhite2061
Member
- Jan 2, 2013
- 31
- 5
Unataka kurudi mtihani 1 wa physics au ulikuwa unataka kujua nn?
Hivi inawezekana mtu aliyesoma CBG akapata chance ya kusoma Medical?
siyo kuresit ndugu, sikufanya physics A level. nilisoma mchepuo wa CBG i.e chemistry,biology na geography. pia nilifanya GS kama sheria kwa wote. nataka nifanye A level physics necta exam. ndiyo nauliza kama naruhusiwa na taratibu za necta. asante
hivi inawezekana mtu aliyesoma cbg akapata chance ya kusoma medical?
Hongera sana ni watu wachache sana wanaweza kuwa na uwamuzi huo, tafadhali usikate tamaa ni VEMA KABISA KUSOMA KILE UPENDACHO HATA KWA GHALAMA ZAIDI, Pili km jamaa mmoja alivyogusia tayari km wewe ni graduate ulizia University zetu kama unaweza kusoma Physics pekee University level au utueleze LENGO LAKO KAMILI ILI WAKUSHAURI VEMAHeshima kwenu wadau.
naulizia ukomo wa principle subjects ambazo mtu anaweza fanya kwa form six necta exams.
nilimaliza form 6 2004, nilifanya mchepuo wa CBG na kufaulu vyema kuendelea university na sasa nimeajiriwa. ila kutokana na mapenzi yangu nataka kusoma kitu roho inapenda, ila natakiwa niwe nimefanya a level physics ili nijoin hiyo kozi.
hivyo nataka kuja sit kwa physics necta form six. nauliza wadau kama necta wanaruhusu.nakumbuka kuna wale wanaofanya Principle subjects 3 na bible or islamic knowledge.
NB: Masomo niliyofanya form six ni CBG plus general studies,
physics tena?? we jamaa kwel hujipendi
yeah inaruhusiwa,nina rafiki yangu yupo cuhas mwaka wa kwanza
Am sorry, but being a graduate you would surely know that you need not sit for a form six exam again? Unauliza kweli au unachangamsha kijiwe tu?
[/SIZE][/B]
Nimekuelewa vyema unaruhusiwa kwani vigezo vya kufanya mtihani wa kidato cha 6 sharti uwe na credit 3 O level au uwe umemaliza kidato cha 6 hapo nyuma na sikuhizi application zinafanyika online unapata jibu papo hapo km unavigezo au hapana.
Unajua kurisiti mtihani ni tofauti na kusoma kabisa? Necta wana kigezo cha credit hours, kwamba lazma usome kiasi fulani kabla ya kuendelea na mtihani kama ni fresher.
Maisha marahisi mamii. Ingia google necta. Chukua hotline watangie uwaulize. Na mie nina ndoto ya urubani since i was a kid, nangojea nikinunua kandege kangu nianze kujibabu sambeke.
physics tena?? we jamaa kwel hujipendi
Hongera sana ni watu wachache sana wanaweza kuwa na uwamuzi huo, tafadhali usikate tamaa ni VEMA KABISA KUSOMA KILE UPENDACHO HATA KWA GHALAMA ZAIDI, Pili km jamaa mmoja alivyogusia tayari km wewe ni graduate ulizia University zetu kama unaweza kusoma Physics pekee University level au utueleze LENGO LAKO KAMILI ILI WAKUSHAURI VEMA