blackandwhite2061
Member
- Jan 2, 2013
- 31
- 5
Heshima kwenu wadau.
naulizia ukomo wa principle subjects ambazo mtu anaweza fanya kwa form six necta exams.
nilimaliza form 6 2004, nilifanya mchepuo wa CBG na kufaulu vyema kuendelea university na sasa nimeajiriwa. ila kutokana na mapenzi yangu nataka kusoma kitu roho inapenda, ila natakiwa niwe nimefanya a level physics ili nijoin hiyo kozi.
hivyo nataka kuja sit kwa physics necta form six. nauliza wadau kama necta wanaruhusu.nakumbuka kuna wale wanaofanya Principle subjects 3 na bible or islamic knowledge.
NB: Masomo niliyofanya form six ni CBG plus general studies,
naulizia ukomo wa principle subjects ambazo mtu anaweza fanya kwa form six necta exams.
nilimaliza form 6 2004, nilifanya mchepuo wa CBG na kufaulu vyema kuendelea university na sasa nimeajiriwa. ila kutokana na mapenzi yangu nataka kusoma kitu roho inapenda, ila natakiwa niwe nimefanya a level physics ili nijoin hiyo kozi.
hivyo nataka kuja sit kwa physics necta form six. nauliza wadau kama necta wanaruhusu.nakumbuka kuna wale wanaofanya Principle subjects 3 na bible or islamic knowledge.
NB: Masomo niliyofanya form six ni CBG plus general studies,