Kikosi Bora CAF champions league game 5, Simba babalao

Kikosi Bora CAF champions league game 5, Simba babalao

Nakumbusha tu kuwa kipindi hiki ndio hatua ya mwisho ya mgonjwa kukata roho. Hata misimu ya nyuma ndio furaha iliyokuwa inasherehekewa na mashabiki ( man of matches na team of the week) halafu ikifika robo ndio kilele chao cha mafanikio. Kombe lao ni la robo, man of the matches na team of week. Wakati wengine wanasherehekea kombe. Ushamba ni mzigo
Umekaa kisaba saba kama horoyo fc ukiukatikia ule mwiko wenu huku unaandika hizo shudu
 
Acha kumuhusisha Mungu na UPUMBAVU.

Mungu yupi anayewaambia Makolokolo manyau meusi yakatize katikati uwanjani kabla ya mechi?

Mungu yupi anaruhusu moto uwashwe uwanjani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani lazima utesekeee jaman? Na lazima utoe kelele? Hebu futa chozi kimya kimyaa bhana wee.

Kwemaaaaa????
 
CAF hata hawawajui, hao wanajulikana salamander na Kigamboni tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wachezaji wanaishi Kimbiji karibu na mji mdogo uliochangamka wa Vikundu 🤣😂🤣
 
Wachezaji wanaishi Kimbiji karibu na mji mdogo uliochangamka wa Vikundu [emoji1787][emoji23][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasa
 
CAF wanaita Yanga ni Tanzanians na Simba Sc ni Tanzanian Giants. Ulewa hapo
 
Nakumbusha tu kuwa kipindi hiki ndio hatua ya mwisho ya mgonjwa kukata roho. Hata misimu ya nyuma ndio furaha iliyokuwa inasherehekewa na mashabiki ( man of matches na team of the week) halafu ikifika robo ndio kilele chao cha mafanikio. Kombe lao ni la robo, man of the matches na team of week. Wakati wengine wanasherehekea kombe. Ushamba ni mzigo
Kama una akili timamu huwez tarajia ubingwa Kwa Simba huku CAFCL ndio maana haya malengo ya timu yalikuwa ni kufikia NUSU fainali tu na sio fainali,

Pia kama una akili timamu huwez I kuibeza robo fainali ya CAFCL Kwa uwekezaji wa timu zetu ndio maana Azam na geita waliishia awali na yanga akaangukia shirikisho kilichombeba Simba CAFCL mpaka kaingia robo fainali ni uzoefu tu kama itakavyotokea Kwa Al ahly lakn timu ya kushindana na Hawa pot 1 giants wa Africa bado timu zetu hazina uwezo huo, tuna uwezo wa kuwafung katika hatua ya makundi pekee na sio mtoano

Naujua mpira, naipenda simba
 
Back
Top Bottom