Kikosi bora cha Simba SC 1990-2010

Kikosi bora cha Simba SC 1990-2010

Naomba wadau mnitafutie nafasi ya Malota Soma Ball Jagger kwenye vikosi vyenu mlivyopendekeza . Hiyo mashine ilikuwa fundi haswa
1. MOHAMED MWAMEJA
2. SAID SUED
3. ALPHONCE MODEST
4. VICTOR COSTA NAMPOKA "NYUMBA"
5. GEORGE MAGERE MASATU
6. SELEMAN MATOLA
7. STEPHEN MAPUNDA "GARINCHA"
8. HUSSEIN MARSHA
9. ATHUMANI MACHUPPA
10. MADARAKA SELEMAN
11. NTEZE JOHN "LUNGU'

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba wadau mnitafutie nafasi ya Malota Soma Ball Jagger kwenye vikosi vyenu mlivyopendekeza . Hiyo mashine ilikuwa fundi haswa

Sent using Jamii Forums mobile app
Malota Soma na Madaraka Seleman,mmojawapo hapo kipa bora kabisa aliyekuwa anasifiwa kwa Afrika Kanka Vemba anafahamu shughuli yake.1993 mbele ya akina Abilio,Yanda,Libengue,Kanka Vemba,Kuleka,Lolo hawakuamini kilichotokea Hapo Dar. Ndani ya Mita 30 Kanka anavishwa kanzu na Malota kuandika bao la tatu kama sijakosea.Sijui ilikuwaje S.abdijan kuifunga Simba Dar wakati Atletico Aviacao ndo iliisumbua Sana Simba.
 
Ni kweli Emmanuel Gabriel "batistuta" alilkua mchezaji mzuri lakini unapokua umepewa option mbili mkononi za namba 9 na 10 na huku una watu kama machupa, madaraka selemani, Musa mgosi, Malota Soma, Edward Chumila, Damian Kimti, Boban,Juma Amir maftah, inakua ngumu sana kumweka Gabriel.
Kimti yuko huku ISELA MWANZA
 
Back
Top Bottom