NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Simba ni habari nyingine sio Tanzania bali Africa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naongezea..Hata hao wa kigeni ni Simba. Simba ipo kufanya kazi, sio kukuza vipaji vya wachezaji wa ndani
Huyu buji buji labda kaingia jamiiforums juzi!!Round 4 mohamed Husein Zimbwe alikuwepo
Round 1 Aishi Manula alikuwepo
Goli la kwanza umelionaje, kama sio utukutu wa Morison si ajabu na yeye angekuwemoHuyu Luis ni kama anaandaliwa kuwa Mchezaji bora wa mashindano. Chama kilichombeba ni yale magoli yake mawili na assist (Goli la nne linafaa kuwa goli bora la wiki).
Hongera kwao na kwa Club pia - Tena wameingia kwa alama nyingi 8.6 na kuwazidi hao wengine walioingia nao
Atakuwa mwezi mchangaHuyu buji buji labda kaingia jamiiforums juzi!!
Na wa Utopolo wapo wangapi humo?Hivi Simba wachezaji wenu wa kizawa mbona hatujawahi kuwaona kwenye kikosi hiki?
Wuhutuhopoloho siwajui mi ni mgeni tu hapa mjini, kule kwetu Chato niliona magari mengi hayana watu yanakuja mjini, nikapandaNa wa Utopolo wapo wangapi humo?
For what? .. labda kwa uwezo mkubwa wa uogeleaji kwenye vidimbwi.Na wa Utopolo wapo wangapi humo?
Mohamed husein aliingia baada ya mechi na el merreick.Hivi Simba wachezaji wenu wa kizawa mbona hatujawahi kuwaona kwenye kikosi hiki?
Shabalala kashawahi kutinga humoHivi Simba wachezaji wenu wa kizawa mbona hatujawahi kuwaona kwenye kikosi hiki?
Kina mwamnyeto umewaona hata timu ya kufagia ofisi za caf?Hivi Simba wachezaji wenu wa kizawa mbona hatujawahi kuwaona kwenye kikosi hiki?
Wana makubaliano hayo ya aipost timu? Wamuongeaee mzigo.Hakika,hii ni mara ya tatu sasa. Ameshakuwa mchezaji bora wa wiki na wiki iliyopita alishindanishwa kuwa mchezaji bora na wenzie watatu.
Ukikaona kenyewe hakana hata time. Kule insta kalikuwa kimya mpaka kina Manara wakamtaka awe anapost kuiuza timu
Yaani kwa simba hii uto wanakoma. Kila swali wanalouliza lina jibu sahihi.Zimbwe,mzunguko wa nne