Kikosi cha Afrika cha muda wote

Umefunga thread
 
kwakifupi umeanza kuangalia mpira juzi tu, hiyo list yako inabeba majina ya juzi na hao wote kombe la dunia hwaja wahi kufanya vizuri na timu zao isipo kua milla pekeyake.
Watanzania ndo shida tuliyonayo. Badala ya kujibu kwa hoja unajibu kwa maelezo yasiyo na ushahidi. Leta kikosi chako kitakachoonyesha utofauti na huyo mwenzako. Jibu kwa hoja ya kikosi chako.
 
Mbona sijamuona Lucas Radebe kikosini?
 
Mtoa mada, umemuacha George Opong Weah na kumbeba Roger Milla? Milla ana nini cha maana? Au kuchezea timu ya taifa katika umri mkubwa?

Nimeheshimu mtazamo wako!
 
kosa kubwa ni kumuacha mchezaji bora wa dunia 1995 ,haijawahi kutokea toka kuubwa kwa ulimwengu GEORGE WEAH
 

Naomba umuongeze
flavio na manucho wa Angola
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…