uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Feisal Faila kuff kama wanavyomuita watangazaji wa Azam rafiki za lawena msonda mzee wa makongorosi ametaja kikosi chake Bora Cha msimu ulioisha kupitia gazeti pendwa la michezo mwanaspoti ambapo humo ndani ameweka wachezaji 7 kutoka kikosi Bora Cha yanga wachezaji hao ni
1. Diara
2. Yao
3. Bacca
4. Aucho
5. Max
6. Pacome
7. Aziz
Hii list inaonesha ukubwa wa team bingwa
NB: Huyu kijana inawezekana anashida na Mudathir maana alipaswa kuwa sehem ya hiki kikosi.
1. Diara
2. Yao
3. Bacca
4. Aucho
5. Max
6. Pacome
7. Aziz
Hii list inaonesha ukubwa wa team bingwa
NB: Huyu kijana inawezekana anashida na Mudathir maana alipaswa kuwa sehem ya hiki kikosi.