Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
Ghana qka black starView attachment 2358545
Sawazisha bao la inonga kwanzaGhana qka black starView attachment 2358545
Kuna jamaa alikua Azam FC hapo alikua national team ya Ghana jina limenitokaGhana wanawachezaji zaidi ya 300 ,kigezo cha Kwanza cha kuitwa timu ya taifa ni kuwa lazima uwe unacheza EPL ,Jambo la pili lazima uwe kwenye first team maana unaweza ukawa kwenye ligi za ulaya lakini haupo kwenye first team kama upo ligi za Africa watakuchukua ile nafasi ambayo haina ushindani mkubwa
Nimelitafuta mpaka kwa tochi ila wapi sijalionaGhana qka black starView attachment 2358545