Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yes alikuwa beki nafikiri yakouba hata abarola razack aliyekuwa azam keshadakia ,okrah walimuhitaji sana kwa ajili ya chan vs nigeria akakataa kubaki, ila keshawahi kuitwaKuna jamaa alikua Azam FC hapo alikua national team ya Ghana jina limenitoka
Koloa lingine mlitutambia kuwa mna mchezaji wa black star au mlimaanisha Buguruni GhanaUnakuta mleta mada ni baba wa watoto wawili tena anategemewa na familia yake.
Thread Kama hii ilifaa iletwe na dogo wa form two.
Razack Abarola amewahi kuitwa Ghana akichezea Azam FcNa wewe unaamin siasa za mpira wa bongo?
Vilabu vya pombe samahani vya mpira vya TANZANIA havina uwezo wala ushawishi wa kumsajir mchezaj anayeanza X1 ya mataifa haya katka timu zao za taifa
Ghana
Egypt
Cameron
Guinea
Ivory coast
Tunisia
Morocco
ALgeria
Nigeria
Wakimtoa huko jua huyo n wa Kawaida TU kwao labda kwa mashindano ya CHAN
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Lkn simba ni timu kubwaNi kweli kabisa huwezi kuja kuchezea timu hizi za Afrika Mashariki halafu eti ndio uitwe kuchezea timu kama Black Stars, hilo halipo kabisa labda Chan unaweza kubahatisha.
Nchi kama Ghana ina wachezaji wa kulipwa kibao wanaosakata soka barani Ulaya hivyo hata hawafahamu kwamba kuna mchezaji kutoka nchini kwao anachezea timu ya Tanzania.
Ghana ya Mwanza!Ghana ipi lakini