Kikosi cha JF Simba kitakachoipa kichapo kitakatifu kikosi cha JF Yanga

Mimi nipeni kipengele cha Mzee wa Pasi Million
 
Kiongozi wa kamati ya ushindi husda na roho mbaya ni Mshana Jr akisaidiwa na Mwizukulu jilala
[emoji2995][emoji2995][emoji2995][emoji2995][emoji2995][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mkuu umeniacha wapi
 
Mbona sijioni msemaji mkuu wa team?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…