Kikosi cha kushinda Algeria kiwe 3:5:2

Hiyo formation ni nzuri kama mnamiliko mpira.

Kama timu haimiliki mpira basi huwezi kutegemea kumuona Morrison kwenye ubora.

Japo kwa ubovu wa kiwango cha Azizi Ki naweza nikakubaliana na wewe kwa replacement yako ya kumuweka Morrison

Ila Moloko ile mechi ya jana ilikuwa ni muhimu sana sikujua kwanini hakucheza
 
Ndugu zangu waTanzania wapenda michezo. Japokuwa Utopolo wakishinda watakuwa na kelele na kejeli ila hawa waarabu wamekuwa wakitunyanyasa sana. Unafurahishwaje na mwarabu anayetupopoa kila mara bila kujali ni Simba au Uto? Tuwaombee Yanga vyura ushindi waje na kelele zao tutadeal nazo.
 
Kwa taarifa zilizopo CAF imewaruhusu mchezeshe wachezaji 22 na USM Alger 11 na bado hamtatoboa .
 
Yan uende na beki wa 3 kwa timu yenye uwezo wa kupiga counter attack na winger ambulance maake beki watu timu inakua na mashimo nyuma kama umiliki mpira mda mwingi
 
Hatunaa huo uzalendooo, emu tuacheeee bhanaa wwe
 
Mtani asante kwa kushiriki sasa hivi hata akili zenu bado haziamini kama jana mmefungwa...hahahaa mbaya zaidi hata Nabi hamumtaki tena dooh! Kweli utopolo mashabiki akili zenu zipo kwenye njia ya kutolea kinyesi..
 
Hatunaa huo uzalendooo, emu tuacheeee bhanaa wwe
Sio uzalendo, hakuna uzalendo kwenye Club ila mwarabu amekuwa akituonea sana. Si timu ya taifa, si club mpaka inafika hatua unatamani umuone akisononeka na kulia anapokutana na yoyote.
 
Haina jinsi


Toto anapaswa kurud ili aongeze nguvu pale kati


Kwa alichokifanya jana mudathir ni vyema asianze
 
Mwarabu si mtu mzuri wamesababisha mpaka watu wamejipa ukocha uchwara
 
Kwani Jana palikua na mabeki wangapi!?..hupo serious..mauya akafanye nini kwenye game unayohitaji kushinda!?..hapo yanga sharti waanze na wachezaji wenye mawazo ya kushambulia zaidi
 
Mtani asante kwa kushiriki sasa hivi hata akili zenu bado haziamini kama jana mmefungwa...hahahaa mbaya zaidi hata Nabi hamumtaki tena dooh! Kweli utopolo mashabiki akili zenu zipo kwenye njia ya kutolea kinyesi..
Asante kwa kushiriki watu wapo final!?..Asante kwa kushiriki ni kwa wale wanaoishia robo na kukoka moto uwanjani!!
 
Sio uzalendo, hakuna uzalendo kwenye Club ila mwarabu amekuwa akituonea sana. Si timu ya taifa, si club mpaka inafika hatua unatamani umuone akisononeka na kulia anapokutana na yoyote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkishabondwa kule Algeria ndo tutajadili hiloooo
 
Djuma Shabani is out of form hatakiwi kucheza kabisa

Kwa maoni yangu
mfumo uwe 3 4 1 2
Diara
Job mwamnyeto kibwana
Moloko sureboy mudathir lomalisa
Ki stephane
Mayele musonda

back line hairuhusiwi kupanda juu isipokuwa Kama mwamnyeto ataona imepatikana gap ya kupitisha killer pass ya kufunga

Mudathir kazi yake ni kucheza nusu ya upande wa yanga kusaidia Ulinzi au kusukuma Mpira kwa lomalisa na sureboy
Moloko , sureboy na lomalisa watasukuma shambulizi kutoka Kati Mpaka box ya waarabu

Na vilevile lomalisa na moloko watarudi kusaidia ulinzi waarabu wakishambulia sababu ni wepesi

Ki stephane atakuwa na free role Kama anavyofanya Messi na ikibidi kushuti mbali

Mayele na musinda watamalizia

Maloko akichoka aingie Morison
Mudathir akichoka aingie mauya

Yoyote aliye karibu na Nabi ampitishie hii plan Italeta matokeo chanya algeria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…