Kikosi cha kuwaua wanajeshi Warusi wanaokimbia mapambano chabuniwa


Source: Dailymail is wrong source to pick for Russia news..!!
 
MMESOMA COMMENT ZOTE MMEONA HUMU TEAM NATO ACHA NIWAELEWESH VIZURI MPKA SASA URUSI IMEKALIA MIKOA MINNE MMOJA TU NDIO WALISHAMBULIWA SANA NA KURUD NYUMA LAKIN KAZ INAENDELEA IVI SASA UKRAINE AKUNA UMEME WANATUMIA JENERETA NCHI NZIMA MRUSI NDIO BABA WA VITA SHENZ NYIE
 

Tulitegemea supapawa awe na uwezo wa kuparamia kainchi kadogo kama Ukraine ndani ya siku tano, kwa hasara yote aliyoingia Mrusi alipswa kuwa amesimika uongozi wake Kyev, kapigwa za uso....na hata hiyo 15% aliyoshikilia inamtoka puani.
 
Umeandika haya ukiwa wapi kherson, kyiv kremlin au buza kwa lulenge?
 
Kuandika kwa herufi kubwa mwanzo mwisho ni dalili ya kupiga mayowe na kushindwa kwenyewe kama Putin
 
Eti uwe na familia halafu ufurahishwe na upuuzi wa views JF?Uko timamu kweli?
Mbona huwa uko composed sana siku zote? Aliyekukwaza huko leo hajatutendea haki hadi umekuja kumalizia hasira kwa mtoa mada [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…