Kikosi cha kuwaua wanajeshi Warusi wanaokimbia mapambano chabuniwa

Kikosi cha kuwaua wanajeshi Warusi wanaokimbia mapambano chabuniwa

Sasa mbona unapanic tena Mkuu,kama kakukera kwa nini usiwe unasoma kabisa Mada zake.Yanini kujipa stress za kujitakia?
Nimempa ushauri!Mimi siwezi kuacha kusoma nyuzi za JF!
 
Mbona huwa uko composed sana siku zote? Aliyekukwaza huko leo hajatutendea haki hadi umekuja kumalizia hasira kwa mtoa mada [emoji3][emoji3][emoji3]
Sina hasira,Sema unataka kunielewa tofauti na ninachomaanisha!
Sasa mtu aandike vitu vya hovyo hovyo tu,tusimwambie?
 
ww ndo unapenda kufurahia vitu vya kijinga yaan kashiba makande aende avamie hlfw unamuunga mkono ugaid huo , hujion kilaza ?
Hao unaowatetea na kuwaabudu,mbona wako kimya kuhusu uvamizi wa Israel huko Palestina?
Kama mpaka Sasa huelewi kwanini Russia kaivamia Ukraine basi wewe ndio kilaza usiyejitambua!
 
Sina hasira,Sema unataka kunielewa tofauti na ninachomaanisha!
Sasa mtu aandike vitu vya hovyo hovyo tu,tusimwambie?
Ningekuelewa kama angekuwa ametumia lugha ya maudhi.Wewe kilichokukera ni kwamba hii habari hujaipenda tu.Othewise usingekimbilia kusema ni vitu vya hovyo,vinaweza kuwa vya hovyo kwako lakini vikawa vya maana kwa wengine.Tuheshimu mawazo kinzani.
 
Tangu ule msafara wa Warusi ulivyopigwa na wabeba javelin, nimejikuta natamani hata uraia Ukraine...


6H24SMWOJJDVRBZ6OUOFWBRBZI.jpg




782.jpg
Hahaaaa msafara wa mavyuma chakavu ya Soviet Union enzi za Stallin , walipondwa pondwa na Javellins hawatasau , yaani li msafara la kilometer 70 waligeuzwa majivu
 
Tangu ule msafara wa Warusi ulivyopigwa na wabeba javelin, nimejikuta natamani hata uraia Ukraine...


6H24SMWOJJDVRBZ6OUOFWBRBZI.jpg




782.jpg
Hii vita ikiisha Ukraine watakuwa na mtaji mkubwa sana wa vyuma chakavu toka Russia , watauza kwenye steel factories huko Ujerumani wajenge miundo mbinu
 
Tangu ule msafara wa Warusi ulivyopigwa na wabeba javelin, nimejikuta natamani hata uraia Ukraine...


6H24SMWOJJDVRBZ6OUOFWBRBZI.jpg




782.jpg
Yaani ilikua kama unapulizia RUNGU kwenye msafara wa siafu, wakaaaali ila pyuuuuuuuu wote chini meno nje[emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959]
 
Mrusi wa mchambawima ,uko unachamba wima ,[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji2959][emoji2959][emoji2959]zake! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Lazima warusi wamuuze putin kama kitimoto anajikaanga na mafuta yake
 
Ningekuelewa kama angekuwa ametumia lugha ya maudhi.Wewe kilichokukera ni kwamba hii habari hujaipenda tu.Othewise usingekimbilia kusema ni vitu vya hovyo,vinaweza kuwa vya hovyo kwako lakini vikawa vya maana kwa wengine.Tuheshimu mawazo kinzani.
Unajua alichoandika ni Nini mpaka nikamjibu hivyo?Hujafuatilia trend,hiyo comment nimeitoa kujibu comment yake aliyonijibu hovyo hovyo!
Next kabla hujaingilia conversation ya watu,fuatilia mlolongo kwanza!
 
Unajua alichoandika ni Nini mpaka nikamjibu hivyo?Hujafuatilia trend,hiyo comment nimeitoa kujibu comment yake aliyonijibu hovyo hovyo!
Next kabla hujaingilia conversation ya watu,fuatilia mlolongo kwanza!
Nimefuatilia tangu mwanzo na ulishagadhibika tangu mwanzo ndiyo maana nikakuuliza mbona siku zote huwa upo composed,nini mbaya kwa leo?.Na kwa jinsi unavyoendelea kujibizana na wengine ndiyo kabisa unadhihirisha kuwa leo siyo wewe unayehimiri mijadala siku zote kama kawaida yako.Nakumbuka huwa mtu hata akikujibu kwa lugha ya maudhi kweli bado huwa unamuignore na unaendelea na mjadala na wengine.Anyway ni kawaida siku zote hazilingani Mkuu.
 
Nimefuatilia tangu mwanzo na ulishagadhibika tangu mwanzo ndiyo maana nikakuuliza mbona siku zote huwa upo composed,nini mbaya kwa leo?.Na kwa jinsi unavyoendelea kujibizana na wengine ndiyo kabisa unadhihirisha kuwa leo siyo wewe unayehimiri mijadala siku zote kama kawaida yako.Nakumbuka huwa mtu hata akikujibu kwa lugha ya maudhi kweli bado huwa unamuignore na unaendelea na mjadala na wengine.Anyway ni kawaida siku zote hazilingani Mkuu.
Comment yangu ya kwanza Kwa Uzi huu nimemwambia awe ana aibu basi kuleta habari ambazo hazina mantiki,nakazia "habari" na sio maoni!Alichonijibu ni kitu Cha hovyo japo sio matusi,nami nimemjibu lakini sijatukana!
Read between lines!
Nways hii habari,sijaona Cha kujadiliana naye maana nimejua ni mtu wa namna gani!
 
Back
Top Bottom