Hicho kikosi kimetoka mbinguni? Kama wamezaliwa na watanzania hawawezi kupiga ndg zao na mama zao Kwa sababu ya maslahi ya familia fulaniHiki ni moja ya vikosi hatari zaidi nchini vinavyotumika kuzuia ghasia magerezani.
Kwa taarifa za ndaani kabisa, zinasema mafunzo waliyonayo hawa jamaa, FFU wanasubiri.
Ni kikosi ambacho si maarufu sana, labda kijitokeze tarehe 24/1/2024.
Kikosi gani unakijua kwa matata makubwa mbali na hawa jamaa na MP(Millitary Police)?
Watanzania wengi kama wewe wanapenda sana kupigwapigwa.Hiki ni moja ya vikosi hatari zaidi nchini vinavyotumika kuzuia ghasia magerezani. Kiko chini ya Jeshi la Magereza
Kwa taarifa za ndaani kabisa, zinasema mafunzo waliyonayo hawa jamaa, FFU wanasubiri.. Jamaa ni kama wanakula misumari kwa meno, au wanatafuna kokoto.
Ni kikosi ambacho si maarufu sana, labda kijitokeze tarehe 24/1/2024.
Kikosi gani unakijua kwa matata makubwa mbali na hawa jamaa na MP(Millitary Police)?
Tatizo lako hujui hata haki zako za msingi.Hiki ni moja ya vikosi hatari zaidi nchini vinavyotumika kuzuia ghasia magerezani. Kiko chini ya Jeshi la Magereza
Kwa taarifa za ndaani kabisa, zinasema mafunzo waliyonayo hawa jamaa, FFU wanasubiri.. Jamaa ni kama wanakula misumari kwa meno, au wanatafuna kokoto.
Ni kikosi ambacho si maarufu sana, labda kijitokeze tarehe 24/1/2024.
Kikosi gani unakijua kwa matata makubwa mbali na hawa jamaa na MP(Millitary Police) Polisi wa jeshi la wananchi wa Tanzania?
Poa mkuuHayo tutayajua wakati wa postmortem
Hiki ni moja ya vikosi hatari zaidi nchini vinavyotumika kuzuia ghasia magerezani. Kiko chini ya Jeshi la Magereza
Kwa taarifa za ndaani kabisa, zinasema mafunzo waliyonayo hawa jamaa, FFU wanasubiri.. Jamaa ni kama wanakula misumari kwa meno, au wanatafuna kokoto.
Ni kikosi ambacho si maarufu sana, labda kijitokeze tarehe 24/1/2024.
Kikosi gani unakijua kwa matata makubwa mbali na hawa jamaa na MP(Millitary Police) Polisi wa jeshi la wananchi wa Tanzania?
usiwe na shaka mkuu.Asante mkuu, ushapiga zile picha kubwa za passport, maana tusijepata shida kupata picha yako ya kuweka pale mbele
Mbona mnataka kuiweka nchi kwenye taharuki bila sababu kisa maandamano ya amani? Kwani nchi hii maandamano hayajawahi kuwepo haya ndiyo ya kwanza? Hadi Rais kaenda kuwaalika JW waje kuwashughulikia Chadema ni nini hiki CCM mnataka kutuletea? Haya njoni mtuue hiyo 24/01/2024 .Hiki ni moja ya vikosi hatari zaidi nchini vinavyotumika kuzuia ghasia magerezani. Kiko chini ya Jeshi la Magereza
Kwa taarifa za ndaani kabisa, zinasema mafunzo waliyonayo hawa jamaa, FFU wanasubiri.. Jamaa ni kama wanakula misumari kwa meno, au wanatafuna kokoto.
Ni kikosi ambacho si maarufu sana, labda kijitokeze tarehe 24/1/2024.
Kikosi gani unakijua kwa matata makubwa mbali na hawa jamaa na MP(Millitary Police) Polisi wa jeshi la wananchi wa Tanzania?
wanaishi kwenye mabanda ya njiwa, watoke wakawasaidie Mafisadi kula meema ya nchi ilihali wao wanaishi kwenye mabanda ya njiwa,Hiki ni moja ya vikosi hatari zaidi nchini vinavyotumika kuzuia ghasia magerezani. Kiko chini ya Jeshi la Magereza
Kwa taarifa za ndaani kabisa, zinasema mafunzo waliyonayo hawa jamaa, FFU wanasubiri.. Jamaa ni kama wanakula misumari kwa meno, au wanatafuna kokoto.
Ni kikosi ambacho si maarufu sana, labda kijitokeze tarehe 24/1/2024.
Kikosi gani unakijua kwa matata makubwa mbali na hawa jamaa na MP(Millitary Police) Polisi wa jeshi la wananchi wa Tanzania?