Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Walisambaratishwa na serikali, vyama vya siasa haviruhusiwi kuwa na askari.Alooooooooo.
kwani red brigade waliishiaga wapi maana wangekuwepo vita ingeanza kati ya green guards vs red brigades.
Mbona wa ccm wapoWalisambaratishwa na serikali, vyama vya siasa haviruhusiwi kuwa na askari.
Ni sawa na msajili anapozungumzia kuhusu viongozi wa dini kuwepo kwenye majukwaa ya upinzani akiwaacha akina askofu Gwajima na wenzake kwenye jukwaa la CCM.Mbona wa ccm wapo
Mwamposa ni patroni wa CCM, kumbuka mauaji yaliyotokea Moshi wakajidai kumkamata lakini likamalizwa kimyakimya.Pale kwa Mtume Mwamposa huwa nawaona hao Green Guards wakimlinda
Kuna watu wamekipaisha nakiita wagner acheni uongo Hakina madhara ni panya rod tu wale kazi yao kurusha mawe kama vibaka wengine.Umoja wa Vijana CCM imejigeuza kuwa kikosi cha wapiganaji kuilinda CCM, kikosi hiki kimefanya mafunzo ya uaskari na baadhi yao tunawaona wakiwa kwenye sare wakilinda mikutano na viongozi wajuu wa nchi!
Kitendo hiki hakikubaliki kwani ni tishio kwa amani ya nchi maana hawa vijana wanajiamini pia wanaamini hawawezi kichukuliwa hatua na serikali na hawajaanza leo kujiamini huko.
Ila CCM inaruhusiwa ndio maana inatumia PoliccmWalisambaratishwa na serikali, vyama vya siasa haviruhusiwi kuwa na askari.
Si kwamba inatumia Policcm ni kwamba wanashirikiana, haiwezekani kijana wa Uvccm asimame mbele ya rais kwenye mkutano eti anamlinda rais! Ni kwamba wanaelewana.Ila CCM inaruhusiwa ndio maana inatumia Policcm
Siku wakicharuka ndipo utawajua kuwa si panyarodi.Kuna watu wamekipaisha nakiita wagner acheni uongo Hakina madhara ni panya rod tu wale kazi yao kurusha mawe kama vibaka wengine.
UONGOUmoja wa Vijana CCM imejigeuza kuwa kikosi cha wapiganaji kuilinda CCM, kikosi hiki kimefanya mafunzo ya uaskari na baadhi yao tunawaona wakiwa kwenye sare wakilinda mikutano na viongozi wajuu wa nchi!
Kitendo hiki hakikubaliki kwani ni tishio kwa amani ya nchi maana hawa vijana wanajiamini pia wanaamini hawawezi kichukuliwa hatua na serikali na hawajaanza leo kujiamini huko.
UONGO
UONGO
UONGO...
UVCCM ni wakakamavu tu na si askari....
#SiempreJMT[emoji120]
Nani nyoronyoro ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]iLA wajue kuwa upinzani wakiunda chao wasilalamike!
Sidhani kama hawa vijana nyoronyoro wa ccm kama wanaweza hata kupambana na vijana wakakamavu wa kike upinzani!