Kikosi cha Rapid Force (UVCCM) kivunjwe

Kikosi cha Rapid Force (UVCCM) kivunjwe

iLA wajue kuwa upinzani wakiunda chao wasilalamike!
Sidhani kama hawa vijana nyoronyoro wa ccm kama wanaweza hata kupambana na vijana wakakamavu wa kike upinzani!
Chadema waliwahi kuunda kwa ajili ya ulinzi wa viongozi na mikutano kikasambaratishwa kwa kisingizio cha "jukumu la polisi!".
 
Umoja wa Vijana CCM imejigeuza kuwa kikosi cha wapiganaji kuilinda CCM, kikosi hiki kimefanya mafunzo ya uaskari na baadhi yao tunawaona wakiwa kwenye sare wakilinda mikutano na viongozi wajuu wa nchi!

Kitendo hiki hakikubaliki kwani ni tishio kwa amani ya nchi maana hawa vijana wanajiamini pia wanaamini hawawezi kichukuliwa hatua na serikali na hawajaanza leo kujiamini huko.
Kwa kiasi kiasi kikubwa, UVCCM inafanya kazi kama genge la majambazi. Maovu mengi, pamoja na mauaji yamefanywa na genge hili ovu.
 
Umoja wa Vijana CCM imejigeuza kuwa kikosi cha wapiganaji kuilinda CCM, kikosi hiki kimefanya mafunzo ya uaskari na baadhi yao tunawaona wakiwa kwenye sare wakilinda mikutano na viongozi wajuu wa nchi!

Kitendo hiki hakikubaliki kwani ni tishio kwa amani ya nchi maana hawa vijana wanajiamini pia wanaamini hawawezi kichukuliwa hatua na serikali na hawajaanza leo kujiamini huko.
Usalama wa Taifa na vyombo vingine vya Ulinzi wakiendelea kuwachekea hawa Ccm na uvccm yao ipo siku sote tutavuna mabua.

Kula Sudan vikundi kama hivyo vimekua na kumea hadi vikawa jesho kubwa linalosumbua Taifa kwa sasa.

Kule Rwanda vikosi na vikukundi vya chama cha Rwadan Patriotoc Front viliota mapembe na kuwa Rwandan Patriotic Army na kusababisha maafa makubwa.

Sisi Raia wema tunaendelea kuishauri Deep State bila kuchoka.
 
Usalama wa Taifa na vyombo vingine vya Ulinzi wakiendelea kuwachekea hawa Ccm na uvccm yao ipo siku sote tutavuna mabua.

Kula Sudan vikundi kama hivyo vimekua na kumea hadi vikawa jesho kubwa linalosumbua Taifa kwa sasa.

Kule Rwanda vikosi na vikukundi vya chama cha Rwadan Patriotoc Front viliota mapembe na kuwa Rwandan Patriotic Army na kusababisha maafa makubwa.

Sisi Raia wema tunaendelea kuishauri Deep State bila kuchoka.
Si kwamba wanawachekea ila mfumo wa CCM unawalazimisha kuwaheshimu. Chini ya mfumo wa jeshi hili CCM haiwezi kushindwa uchaguzi, kikosi hiki kitalazimisha ushindi.
 
Umoja wa Vijana CCM imejigeuza kuwa kikosi cha wapiganaji kuilinda CCM, kikosi hiki kimefanya mafunzo ya uaskari na baadhi yao tunawaona wakiwa kwenye sare wakilinda mikutano na viongozi wajuu wa nchi!

Kitendo hiki hakikubaliki kwani ni tishio kwa amani ya nchi maana hawa vijana wanajiamini pia wanaamini hawawezi kichukuliwa hatua na serikali na hawajaanza leo kujiamini huko.
ni ajabu sana, hicho kikosi kiko against who? kwa sababu hakuna shabiki wa chadema hata awe kichaa anaweza akavutiwa na mikutano ya ccm hata akapoteza muda wake kwenda kuwasikiliza.
 
ni ajabu sana, hicho kikosi kiko against who? kwa sababu hakuna shabiki wa chadema hata awe kichaa anaweza akavutiwa na mikutano ya ccm hata akapoteza muda wake kwenda kuwasikiliza.
Kikosi hiki kazi yake ni kuzuia mikutano wayotaka isifanyike kwenye eneo wanalodai ni lao!
 
Watanzania tunskichukulia poa kikosi hiki cha askari wa Uvccm lakini hapo baadae tutakuja juta. Vikosi hivi huanzishwa na vijana ndani ya vyama vya siasa waliokosa ajira rasmi, vijana hawa huwa hawajo tayari kupoteza ajira yao ndani ya chama hivyo hujitahidi kukilinda chama chao kwa njia yoyote wakati wa uchaguzi, na baadhi ya matukio yalishuhudiwa kwenye chaguzi zilizipita, hatuna budi kumtaka msajili wa vyama vya siasa akifute kikosi hiki hatari kwa taifa.
 
Umoja wa Vijana CCM umejigeuza kuwa kikosi cha wapiganaji kuilinda CCM, kikosi hiki kimefanya mafunzo ya uaskari na baadhi yao tunawaona wakiwa kwenye sare za kiaskari wakilinda mikutano na viongozi wajuu wa nchi!

Kitendo hiki hakikubaliki kwani ni tishio kwa amani ya nchi maana hawa vijana wanajiamini pia wanaamini hawawezi kichukuliwa hatua na serikali na hawajaanza leo kujiamini huko.
Tumia picha tuwaone na sio kuleta uzushi.
 
Umoja wa Vijana CCM umejigeuza kuwa kikosi cha wapiganaji kuilinda CCM, kikosi hiki kimefanya mafunzo ya uaskari na baadhi yao tunawaona wakiwa kwenye sare za kiaskari wakilinda mikutano na viongozi wajuu wa nchi!

Kitendo hiki hakikubaliki kwani ni tishio kwa amani ya nchi maana hawa vijana wanajiamini pia wanaamini hawawezi kichukuliwa hatua na serikali na hawajaanza leo kujiamini huko.
Hili ndilo kundi la Wagner ndani ya Tanzania, wanapewa Kila kitu na Serikali , fedha , Magari ulinzi, silaha nk.

Siasa za Kirusi ndani ya CCM sii jambo jipya,

Miaka 6 ya Magufuli kundi hili la Wagner lilipata nguvu ya kipekee sana,

Kila wanapohisi upinzani unapata nguvu, CCM huwapa uhuru kundi lao hili kufanya watakalo ili kutuliza Hali ya kisiasa nchini

Bado hatujaona , tusubiri
 
Hili ndilo kundi la Wagner ndani ya Tanzania, wanapewa Kila kitu na Serikali , fedha , Magari ulinzi, silaha nk.

Siasa za Kirusi ndani ya CCM sii jambo jipya,

Miaka 6 ya Magufuli kundi hili la Wagner lilipata nguvu ya kipekee sana,

Kila wanapohisi upinzani unapata nguvu, CCM huwapa uhuru kundi lao hili kufanya watakalo ili kutuliza Hali ya kisiasa nchini

Bado hatujaona , tusubiri
Tatizo watanzania hatupendi kuchukua hatua mapema, jambo baya likitokea tunakimbilia kusema hatukufahamishwa!
 
Moja ya jambo ninaloshindwa kulielewa ni kitendo cha watetezi wa haki za binaadamu kushindwa kumlazimisha msajili akifute kikosi hiki kabla ya uchaguzi mkuu ujao.
 
Back
Top Bottom