Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
- Thread starter
-
- #21
Chadema waliwahi kuunda kwa ajili ya ulinzi wa viongozi na mikutano kikasambaratishwa kwa kisingizio cha "jukumu la polisi!".iLA wajue kuwa upinzani wakiunda chao wasilalamike!
Sidhani kama hawa vijana nyoronyoro wa ccm kama wanaweza hata kupambana na vijana wakakamavu wa kike upinzani!
Huyo hajui kuwa uvccm wanaua, amuulize mke wa dr. Slaa walivyomtia kilema.Nani nyoronyoro ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
UVCCM hakuna nyoronyoro....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kwa kiasi kiasi kikubwa, UVCCM inafanya kazi kama genge la majambazi. Maovu mengi, pamoja na mauaji yamefanywa na genge hili ovu.Umoja wa Vijana CCM imejigeuza kuwa kikosi cha wapiganaji kuilinda CCM, kikosi hiki kimefanya mafunzo ya uaskari na baadhi yao tunawaona wakiwa kwenye sare wakilinda mikutano na viongozi wajuu wa nchi!
Kitendo hiki hakikubaliki kwani ni tishio kwa amani ya nchi maana hawa vijana wanajiamini pia wanaamini hawawezi kichukuliwa hatua na serikali na hawajaanza leo kujiamini huko.
Usalama wa Taifa na vyombo vingine vya Ulinzi wakiendelea kuwachekea hawa Ccm na uvccm yao ipo siku sote tutavuna mabua.Umoja wa Vijana CCM imejigeuza kuwa kikosi cha wapiganaji kuilinda CCM, kikosi hiki kimefanya mafunzo ya uaskari na baadhi yao tunawaona wakiwa kwenye sare wakilinda mikutano na viongozi wajuu wa nchi!
Kitendo hiki hakikubaliki kwani ni tishio kwa amani ya nchi maana hawa vijana wanajiamini pia wanaamini hawawezi kichukuliwa hatua na serikali na hawajaanza leo kujiamini huko.
Unaenda mbali......SabayaHuyo hajui kuwa uvccm wanaua, amuulize mke wa dr. Slaa walivyomtia kilema.
Kwa hiyo njaa hapo kuna ukakamavu au kukakamaa?UONGO
UONGO
UONGO...
UVCCM ni wakakamavu tu na si askari....
#SiempreJMT[emoji120]
Alipongezwa kwa utumishi wake uliotukuka hivyo akazawadiwa nafasi ya ukuu wa wilaya.Unaenda mbali......Sabaya
Si kwamba wanawachekea ila mfumo wa CCM unawalazimisha kuwaheshimu. Chini ya mfumo wa jeshi hili CCM haiwezi kushindwa uchaguzi, kikosi hiki kitalazimisha ushindi.Usalama wa Taifa na vyombo vingine vya Ulinzi wakiendelea kuwachekea hawa Ccm na uvccm yao ipo siku sote tutavuna mabua.
Kula Sudan vikundi kama hivyo vimekua na kumea hadi vikawa jesho kubwa linalosumbua Taifa kwa sasa.
Kule Rwanda vikosi na vikukundi vya chama cha Rwadan Patriotoc Front viliota mapembe na kuwa Rwandan Patriotic Army na kusababisha maafa makubwa.
Sisi Raia wema tunaendelea kuishauri Deep State bila kuchoka.
Walisambaratishwa na serikali, vyama vya siasa haviruhusiwi kuwa na askari.
ni ajabu sana, hicho kikosi kiko against who? kwa sababu hakuna shabiki wa chadema hata awe kichaa anaweza akavutiwa na mikutano ya ccm hata akapoteza muda wake kwenda kuwasikiliza.Umoja wa Vijana CCM imejigeuza kuwa kikosi cha wapiganaji kuilinda CCM, kikosi hiki kimefanya mafunzo ya uaskari na baadhi yao tunawaona wakiwa kwenye sare wakilinda mikutano na viongozi wajuu wa nchi!
Kitendo hiki hakikubaliki kwani ni tishio kwa amani ya nchi maana hawa vijana wanajiamini pia wanaamini hawawezi kichukuliwa hatua na serikali na hawajaanza leo kujiamini huko.
Kikosi hiki kazi yake ni kuzuia mikutano wayotaka isifanyike kwenye eneo wanalodai ni lao!ni ajabu sana, hicho kikosi kiko against who? kwa sababu hakuna shabiki wa chadema hata awe kichaa anaweza akavutiwa na mikutano ya ccm hata akapoteza muda wake kwenda kuwasikiliza.
Red Brigades walipigwa marufuku na serikali.Alooooooooo.
kwani red brigade waliishiaga wapi maana wangekuwepo vita ingeanza kati ya green guards vs red brigades.
Tumia picha tuwaone na sio kuleta uzushi.Umoja wa Vijana CCM umejigeuza kuwa kikosi cha wapiganaji kuilinda CCM, kikosi hiki kimefanya mafunzo ya uaskari na baadhi yao tunawaona wakiwa kwenye sare za kiaskari wakilinda mikutano na viongozi wajuu wa nchi!
Kitendo hiki hakikubaliki kwani ni tishio kwa amani ya nchi maana hawa vijana wanajiamini pia wanaamini hawawezi kichukuliwa hatua na serikali na hawajaanza leo kujiamini huko.
Hili ndilo kundi la Wagner ndani ya Tanzania, wanapewa Kila kitu na Serikali , fedha , Magari ulinzi, silaha nk.Umoja wa Vijana CCM umejigeuza kuwa kikosi cha wapiganaji kuilinda CCM, kikosi hiki kimefanya mafunzo ya uaskari na baadhi yao tunawaona wakiwa kwenye sare za kiaskari wakilinda mikutano na viongozi wajuu wa nchi!
Kitendo hiki hakikubaliki kwani ni tishio kwa amani ya nchi maana hawa vijana wanajiamini pia wanaamini hawawezi kichukuliwa hatua na serikali na hawajaanza leo kujiamini huko.
Kwa hiyo ccm siyo chama cha siasa?Walisambaratishwa na serikali, vyama vya siasa haviruhusiwi kuwa na askari.
Usiniulize mimi muulize msajili wa vyama vya siasa, kwani vyama vya siasa vilipopigwa marufuku kufanya mikutano CCM haikuwa inaendekea kufanya mikutano?Kwa hiyo ccm siyo chama cha siasa?
Tatizo watanzania hatupendi kuchukua hatua mapema, jambo baya likitokea tunakimbilia kusema hatukufahamishwa!Hili ndilo kundi la Wagner ndani ya Tanzania, wanapewa Kila kitu na Serikali , fedha , Magari ulinzi, silaha nk.
Siasa za Kirusi ndani ya CCM sii jambo jipya,
Miaka 6 ya Magufuli kundi hili la Wagner lilipata nguvu ya kipekee sana,
Kila wanapohisi upinzani unapata nguvu, CCM huwapa uhuru kundi lao hili kufanya watakalo ili kutuliza Hali ya kisiasa nchini
Bado hatujaona , tusubiri
Mbona picha imo humu, unataka picha ya vita? JF kuna kila aina ya vidudumtu.Tumia picha tuwaone na sio kuleta uzushi.