Kwanza kabisa niwapongeze wachezaji, bechi la ufundi na uongozi kwa ujumla wake. Robo fainali ni hatua kubwa sana.
Kwa mimi naona bora tumetolewa kwani hata kama tungeshinda mbeleni tungepata aibu kubwa zaidi.Uwezo wa wachezaji wetu wengi ni mdogo sana kwa levo ya kimataifa. Hawana uwezo wa kukaa na mpira,jawana kasi, hawawezi kukaba pia hawana nguvu kuanzia beki line, viungo mpaka washambuliaji.
Kwa mimi anaestaili kubaki kikosi cha kwanza ni Aishi Manula, Erasto, Niyonzima, Chama, Kagere na Kapombe. Wengine warudishwe kikosi cha pili na baadhi waachwe kabisa.
Mechi ya Jana viungo vilikufa kabisa MTU kama Mkude hakutakiwa kumaliza mechi.
Kwa mimi naona bora tumetolewa kwani hata kama tungeshinda mbeleni tungepata aibu kubwa zaidi.Uwezo wa wachezaji wetu wengi ni mdogo sana kwa levo ya kimataifa. Hawana uwezo wa kukaa na mpira,jawana kasi, hawawezi kukaba pia hawana nguvu kuanzia beki line, viungo mpaka washambuliaji.
Kwa mimi anaestaili kubaki kikosi cha kwanza ni Aishi Manula, Erasto, Niyonzima, Chama, Kagere na Kapombe. Wengine warudishwe kikosi cha pili na baadhi waachwe kabisa.
Mechi ya Jana viungo vilikufa kabisa MTU kama Mkude hakutakiwa kumaliza mechi.