Kikosi cha Simba Kifumuliwe

Jana Kotei na Zana wameigharimu sana Simba. Kotei ana mchango mkubwa sana kwenye goli la kusawazisha, badala acheze kona kwanza yeye anajidosha anatolewa nje tunafungwa halafu linaingia tena. Goli jingine atulizia adui mpira. Wageni wanaotakiwa kubaki ni wawili tu, Niyonzima na Kagere tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani mtoa mada hajatoa lawama ni katika lengo la kuboresha tu kama ww ulivyosema points 1,2&3 nakubaliana na ww tusajiri wachezaji wenye kariba ya kushindana kimataifa hivyo tufocus kwenye timu kubwa Africa na siyo kuleta watu kujaribu nafasi simba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna siku mpira hukataa mkuu btw naunga mkono hoja kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umeongea point Sana,kwa mfano Mamelod yule tajiri wao aliinunua mwaka 2004 lakini ilikuja kuchukua ubingwa wa Afrika mwaka 2016,na huyu coach wao wapo nae tangu mwaka 2012,kinachotakiwa ni uvumilivu tu kwa mashabiki na uongozi pia,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hela si tumepata kutoka CAF..baada ya kufuzu makundi na robo fainali.. Alafu pia Simba ni kampuni.
Mchezaji wa maana anaanzia Sh 1.5T na ndiyo hela mliyopata .mshahara $20k.. kanji wenu hawezi. Mtanunua average players kama Kagere
 
HAWA NI WACHEZAJI WANAOTAKIWA KUTEMWA MSIMU UJAO

1. Dida
2. Gyan
3. Kwasi
4. Mlipili
5. Bukaba
6.Juuko
7. Ndemla
8. Salamba
9. Okwi
10. Wawa

WATAFUTWE "AFRICAN CLASS PLAYER"
1. Beki wa kati
2. Mshambuliaji hatari
3. Kiungo Mkabaji
4. Kiungo mshambuliaji (zaidi ya Chama)
5. Inside ten


WACHEZAJI WATANZANIA
1. Kipa
2. Beki wa kushoto (Gadiel)
3. Beki wa Kati (callibre ya Nyoni au Yondani)
4. Kiungo mkabaji
 
Naunga mkono hoja, halafu nini kinamshinda Kotei kuwa accurate kwenye passing

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kocha wetu falsafa yake inaifanya Simba isiwe timu inayofanya marking vizuri. Kuna mambo watu wanatakiwa kujifunza mazoezini. Halafu timu haichezi kwa uharaka na kujitoa, tunahitaji kocha mwingereza kukaba na kushambulia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Mwamba wa Lusaka,Kagere,Okwi,Bocco,Niyonzima mliwapa misifa mingiiii leo hii mnataka kikosi kifumuliwe na kile kipana vp
Ujue tunapowataja hao hatufanyi reference ya ligi ya bara sijui kucheza na akina Yanga na Lipuli, no, tunafanya reference na TP Mazembe, AS Vita, Esperance, Al Ahly na wa level hizo
 
Kwa mfano kotei na mkude ni viungo lakini hawana uwezo wa kukaa na mpira na kupandisha timu.. Kotei akikaba na kumiliki kinachofuata ni kuanua mbele..pia mkude.
Lakini kuna makocha wanasema kiungo sio mtu wa kukaa na mpira, sasa sijui nikuamini wewe au makocha
 
Mtoa mada unaakili fupi sana we unafikiri kuchukua ubingwa wa vilabu nijambo rahisi sana kwakufanya unavyotaka wewe !!

Simba haina wachezaji wabaya kama unavyowatoa makosa kiasi hicho niswala lakuboost baadhi ya maeneo kwakuleta quality players wenye uzoefu wa big tournament

Kuna vilabu vimewekeza sana africa na mpaka leo hata nusu fainali havijafika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bocco uwezo wake mdogo mno,, uwezo wa kumiliki mpira hana, kuanzisha mashambulizi hawezi piaa,, huyu beki zana hamna kitu,,
 
Nina mitizamo tofauti kidogo. Shida kubwa ya Simba ni kiungo mkabaji hususani Kotei asipokuwepo au asipopangwa kucheza nafasi ya ukabaji,mfano mzuri ni mechi ya jana.
Kiukabaji,uwezo wa Mkude ni mdogo mno labda tuwe tunacheza na Lipuli.
kotei ni mzuri kwenye kukaba..tatizo ninaloliona kwake ni kwenye kumiliki na kukimbia na Mpira kwa kasi kupeleka mbele ....Mara nyingi
Bocco uwezo wake mdogo mno,, uwezo wa kumiliki mpira hana, kuanzisha mashambulizi hawezi piaa,, huyu beki zana hamna kitu,,
Mm naungana na ww.. Pia hana kasi.
 
Lakini kuna makocha wanasema kiungo sio mtu wa kukaa na mpira, sasa sijui nikuamini wewe au makocha
Kiungo Ndio mchezesha timu..sasa kama atakuwa anapoteza mpira kwa kuipiga hovyo..timu lazima ikatike na washambuliaji watakosa mipira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…