KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHOANZA DHIDI YA JS SAOURA

KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHOANZA DHIDI YA JS SAOURA

VIP MNYAMA ATACHOMOKA NA FIRST ELEVEN HII?!View attachment 1041796

Sent using Jamii Forums mobile app
Maskini MTANI duh inauma unganeni tu na Serengeti boys mje nao maana huu ni msiba mwingine kwa taifa poleni sana.
Screenshot_20190310-000817.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnyama anaweza pata angalau droo, ila naomba sana Salamba asipate nafasi awe ameenda kutalii tu
Hivi huyo dogo Salamba ana matatizo gani ?
Kijana bado mdogo, ana umbo zuri na afya njema kwanini anashinda hata kumiliki mpira kwa dakika mbili ?
Toka nianze kumtizama sijawahi kumwona akimpiga chenga beki au mchezaji pinzani.
Akiwa uwanjani anatembea tu kukaba hawezi, anasubiri wamtangulizie yeye akimbie na kupiga mpira basi.
Au minong'ono ninayosikia ni ya ukweli ?
Yaani Yanga wamemroga baada kuwakatalia kumsajiri kwa mkopo ?
Hakika Salamba ananiaikitisha sana sana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi huyo dogo Salamba ana matatizo gani ?
Kijana bado mdogo, ana umbo zuri na afya njema kwanini anashinda hata kumiliki mpira kwa dakika mbili ?
Toka nianze kumtizama sijawahi kumwona akimpiga chenga beki au mchezaji pinzani.
Akiwa uwanjani anatembea tu kukaba hawezi, anasubiri wamtangulizie yeye akimbie na kupiga mpira basi.
Au minong'ono ninayosikia ni ya ukweli ?
Yaani Yanga wamemroga baada kuwakatalia kumsajiri kwa mkopo ?
Hakika Salamba ananiaikitisha sana sana


Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo si wa daraja la simba
 
Back
Top Bottom