Alipata majeraha, ila bila hivyo alikua na namba ya kudumu mpaka vilabu vikubwa vilianza kumfuatilia. Bado haja recover kwa asilimia mia.Hivi nikikujibu kwa dharau na shombo nilizonazo utajisikiaje mkubwa?
Abdi banda hajaanza mechi takribani sita hata mechi iliyopita hakuanza! Ni Reserve mzuri sana, apo awali kipindi ligi inaanza wakiwa kileleni mwa ligi ya PLS alikuwa anaanza sana baada ya vipigo kuanza kuwakumba anasikia tu first 11. Na usishangae wakashuka daraja wakileta uzembe
Kikosi cha hovyo.
Hivi atakua kafikisha 18 wakati wa mashindano?Nampongeza kwa kumwingiza kelvin John.
Ana 16 lakini anaruhusiwa kuchezea taifa star hata kama angekua 15Hivi atakua kafikisha 18 wakati wa mashindano?
Japo utapita mchujo DANTE, SHAIBU NINJA, BOXER, AIYEE na R.JUMA walitakiwa kuitwaJamani mimi ni shabiki wa mpira, vitu technical sijui....naomba kuuliza..Rashidi Juma na Paul Godfrey watakua na tatizo gani technically mpala bench la ufundi la Taifa stars haliwaoni?
Ana 16 lakini anaruhusiwa kuchezea taifa star hata kama angekua 15
Acha kabisa huo utani wa kufananisha England na Taifa stars. England ana nyota 1 ya World Cup aliyoipata kabla hata ya kina argentina na ufaransa . Amefika nusu fainali mara 2 ya World Cup ikiwemo mwaka jana .Ujumbe uko wazi, hao ndio wanatesa Bongo maana yake hatuna wachezaji, hili ndilo linawagharimu England miaka yote.
Himid mao Ni mchawi..Garasa himidi mao naomba sio litemwe lifukuzwe ata uraia kabisa
Baba yake nadhani maana sijawai kumwelewaga uyu jamaaHimid mao Ni mchawi..
Inaburuza mkia kama African LionPetrojot sini Sawa na Namungo tu mkuu
hao ndio wakuwaacha! huku sio majaribio tena.Hahahaaa goli 4 za kufikia tu tena mechi ya kwanza Himid mao, Yahya zaid, Shaban chilunda, Abdi banda, Shiza kichuya, Thomas ulimwengu, na Farid musa ni WAKAA BENCHI WAKUBWA SASA SIJUI WANAKUJA KUFANYA NINI.