Kikosi cha Taifa stars chatangazwa

Alichonifurahisha uyu kocha ni kujali wachezaji wa Simba ambao wana mechi ya klabu bingwa.
Mdau yoyote wa soka Tanzania ni vema wakazingatia zaidi mslahi mapana ya timu bora Africa mashariki"Simba"
 
Nikikwambia kuwa akili huna utasemaje?
 
Ukiitwa mbumbumbu utasema wanakuonea. Huyo matola anacheza namba ngapi?
 
Uchaguzi wa tff Ni lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…