Elihuruma Lwinga
Member
- Jun 3, 2014
- 63
- 68
Naona baadhi ya wachezaji wameachwa, kama Zimbwe, Mwamnyeto, Abutwarib WA Yanga, Kapombe nk, Je ni sahihi kuwaacha? Au wamewaacha sababu ya kujiandaa na mashindano ya klab zao?
Kwani waziri kaka wapi pale[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]Naona baadhi ya wachezaji wameachwa, kama Zimbwe, Mwamnyeto, Abutwarib WA Yanga, Kapombe nk, Je ni sahihi kuwaacha? Au wamewaacha sababu ya kujiandaa na mashindano ya klab zao??View attachment 2355944
Naona mwenye kiti chake amesha kikalia rasmi. Kuhusu mchezaji muhimu, nadhani Farid Mussa Maliki, alistahili kuwepo.Naona baadhi ya wachezaji wameachwa, kama Zimbwe, Mwamnyeto, Abutwarib WA Yanga, Kapombe nk, Je ni sahihi kuwaacha? Au wamewaacha sababu ya kujiandaa na mashindano ya klab zao??View attachment 2355944