kikosi cha Taifa Stars...Shabaan Kado yupo?

kikosi cha Taifa Stars...Shabaan Kado yupo?

Vitendo

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2009
Posts
582
Reaction score
103
ndugu zangu,leo nimesoma magazeti mawili yote yametoa orodha ya wachezaji wa Taifa Stars watakao kipiga na Misri hiyo tarehe 5,gazeti moja nimekuta jina la golikipa mahiri wa Mtibwa sukari Shaaban kado ila gazeti jingine sijaona jina hilo.........sasa wadau naomba kupewa ukweli ni upi Kado kaitwa au vp?...pia mnakionaje kikosi hicho?
 
Back
Top Bottom