Kikosi cha Taifa U18 (CECAFA) Yanga hawapo, Simba wawili tu

Dabil

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2021
Posts
6,823
Reaction score
15,293
Wachezaji walioitwa kikosi cha Taifa U18 wapo 34, wachezaji wa Simba wapo wawili tu na Yanga hamna mchezaji hata mmoja.

Azam ndo wapo wengi, wakuu hii mnaonaje hivi vilabu vyetu vikubwa havizingatii wachezaji chupukizi? Naanza kupata picha hivi vilabu viwili haviandai wachezaji kutoka chini wanasubiri tu kuwasajili walio tayari.
 
Ki uhalisia Yanga na Simba Timu za Under 18 hawana, hao Yanga ndio kabisa huwa wanaokota muda wa mashindano ukifika, walau simba huwa wako nao hivyo hivyo
 
Lakini si kuna ligi ya vijana?
Yanga upande wa vijana ,wanaanza upya, ndio maana wamewachukua Moro kids , timu yao huwa chini ya Said Maulid, Simba vijana wanao siku zote ila hawawapi nguvu,

Ingawa sasa kanuni zinawabana maana lzm timu za U-17 wawe nazo naziwe active, sio km Yanga mnaita watoto kipindi cha mashindano
 
Kupanga ni kuchagua kwa levo na uchumi ulionazo timu zetu kubwa ni bora wanunue mchezaji akiwa tyr mkubwa kulko kukuza kipaji

Ijue kwenye kukuza vipaji hutumia garama kubwa sana kumuandaa mtoto akiwa bado chini ad kufikia mature level na wakat wingne uyo kijana unaemuandaa asikupe matokea chanya moja kwa moja ukajikuta umeingia hasara
Ila ukinunua mtu mzma tyr uyo yuko timamu na yuko tyr kwa matumizi na ata asipofaa galama zake za kumuacha ni ndgo na hasara inayopatikana ni ndogo tofauti na kukuza kipaji af mwisho wa sku kisikupe matokea

Kwaiyo kutokana na sababu km izo ni vema kununua mchezaji akiwa mature sabu uchumi wa timu izo mbili kumbwa bado ni mdogo sana

Ujue watu weng tunapenda kuongea bila research timu zetu za Simba na Yanga ni maskini tena maskini sana na kuanzisha kituo cha kukuza vipaji ni gharama sana na ni kitu ambacho vilabu tajiri tu ndo vinaweza
 
Ufafanuzi murua
 
Ligi ya vijana ipo ila bado haijawa na nguvu na ushawishi ad kuvutia au kusababisha izo club mbili kuanzisha vituo vya kukuza vipaji
 
Hata kwenye kikosi cha sasa cha Taifa Stars kuna wachezaji wachache sana wa simba ukilinganisha na wale wa Yanga. Hivyo sioni kama kuna sababu ya kuuliza hilo swali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…