Ajabu sana man, team ina beki wengi kuliko viungo, hao right full backs wote aliowaita wa nini sasa, amekosa kujiaminiYani Southgate katiwa presha mpaka kachukua ma right back wote wanne
Inaitwa timu ya wachambuziHuwa wanajitapa sana, lakini at the end wanaishia robo fainali.
Kuna jiwe la France huko, Benzema ndani ya nyumba, usithubutu kukutwa na Bwana Pepsi.
Madai yake eti TAA na Reece James wana uwezo wa kucheza pia kwenye kiungo kwaiyo anawapa option nyingineAjabu sana man, team ina beki wengi kuliko viungo, hao right full backs wote aliowaita wa nini sasa, amekosa kujiamini
Huwa wanajitapa sana, lakini at the end wanaishia robo fainali.
Kuna jiwe la France huko, Benzema ndani ya nyumba, usithubutu kukutwa na Bwana Pepsi.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] Eti bwana Pepsi.
Wamewahi kuchukua Euro mara ngapi?England matangazo huwaga ni mengi wakijitahidi sana robo.