christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 2,841
- 4,531
Uingireza kwa sasa wanakizazi cha dhahabu tatizo hawana kocha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatolewa kwenye makundiHuwa wanajitapa sana, lakini at the end wanaishia robo fainali.
Kuna jiwe la France huko, Benzema ndani ya nyumba, usithubutu kukutwa na Bwana Pepsi.
Namba ya bisaka ina competition kubwa sana. Afu bisaka mzr defending, attacking so mzr sana compared na wenzake walioitwa.Bisaka???