Simba na yanga zimewekeza kununua wachezaji Kwa Bei kubwa angalia makocha wao wa timu za vijana wanashindwa hadi na mtibwaMawazo yako ni mazuri sana hasa kwenye kuzalisha wachezaji wazawa hapo nakuunga mkono,ila Tatizo kubwa sio Simba na yanga! Tatizo ni elimu ya watanzania,wachezaji wetu wengi wana elimu ndogo,licha ya vipaji ila elimu bado ni tatizo.
Waganda Wenzetu asilimia kubwa wachezaji wao wana elimu kubwa angalau wanajitambua na ndio maana wanajituma kwa nia ya kwenda mbali!
Wachezaji wetu wazawa kwasababu ya elimu ndogo wakishapata gari used kutoka japani na akapata nyumba tabata na anacheza Simba au yanga kwao ndio mafanikio makubwa!! Mentality hii ikiondoka vichwani mwao mafanikio watayaona na watajituma zaidi, Na mpira wetu utapiga hatua.
Ligi ya Zanzibar kuna wageni wangapi ? Kwenye mashindano ya CAF timu za zanzibar zina mafanikio gani maana asilimia karibu 100 ni wazawa?Hizi falsafa za kuamini kila Mara wageni ndio Bora,ndicho kinachotuangusha wazawa na timu yetu ya taifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuna kitu cha kufanya kama taifa..hakuna mahali tutafikaNkuu nimekupa like kwa kusoma tu aya yako ya kwanza, sina haja ya kuendelea. That has been my opening remark kila ninapo discuss soka letu la bongo tunalolipenda but lenyewe halitupendi coz hatulilei na kulitendea haki. Kula gwala jingine tena