fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Kukuza vijana wazalendo kwenye mpira tulishachelewa. Soka limeshaingia ulimwengu wa kibiashara Tanzania, so kila club inataka mafanikio si ya ndani tu bali hata nje. Swali, utayapata hayo mafanikio kwa wachezaji wa ndani tu katika kupambana na wachezaji wa mataifa na wenye skills mbalimbali kimataifa? Jibu, hapana lazima team zitasajiri wachezaji wa nje ili kusaka mafanikio kibiashara