Kikosi cha wachezaji 27 wa Simba SC kinachosafiri kuelekea DR Congo kuwakabili AS Vita Club

Simba inapanda ndege kwenda kucheza mechi za kimataifa.
Nyinyi nendeni Kidimbwi mkakae kwenye maji vyura nyinyi"visit kidimbwi"
Unapanda ndege kwenda kucheza mechi za kimataifa halafu unarudi na Matokeo ya kupigwa goli 5 ndani ya dakika 45 za kwanza kuna maana gani ya kujisifu???
 
Chonde chonde! Msiende kurudia kufanya tena ule umbumbumbu wenu wa kishirikina wa kuingia na MAPAKA uwanjani! kama mlivyofanya kwenye ile mechi na FC Platinum.
 
Popote ilipo ipigwe 5️⃣👊 tena
 
Nawapa pole. AS VITA si timu ya mchezo kwao. Wajitahidi kupunguza idadi ya magoli
 
Mungu akawe upande wenu. Ila kuhusu Chikwende nasikitika mlitudanganya.
 
Nawapa pole. AS VITA si timu ya mchezo kwao. Wajitahidi kupunguza idadi ya magoli
Mbona tuliwaondosha kwenye michuano.

Kama hoja ni kwao, Hata Simba si mchezo kwao, acheni kuishi kwa kukariri mpira unabadilika.
 
Haya kuna Airport hapo Vita wanashuka na watachuka basi hadi Dar kucheza na Simba mchezo wa pili.

Kwahivyo kaaa hapo hapo kamati ya mapokezi na jezi ya Vita
🤯🤯🤯🤯🤯🤯🤯🤯🤯
 
Unapanda ndege kwenda kucheza mechi za kimataifa halafu unarudi na Matokeo ya kupigwa goli 5 ndani ya dakika 45 za kwanza kuna maana gani ya kujisifu???
Kawaida tu,mbona nyinyi Vidimbwi f.c tuliwapiga 5g.
Simba sio levo yenu nyinyi kachezeni na African Sports,Simba inacheza na Al Ahly ailiyocheza jana na Bayern.
 
Wewee,Simba inacheza pila kuku pila biriani pila sambusa za samaki.
Vidimbwi mnacheza pila gimbi,pila kaukau,pila ugali wa muhogo[emoji23][emoji23]
Yetu macho wacha tusubiri ilo pilau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…