Kikosi cha wazalendo Kenya ambao huning'inia kwenye helicopter na kurekebisha umeme

Kikosi cha wazalendo Kenya ambao huning'inia kwenye helicopter na kurekebisha umeme

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Jana tumekua na changamoto la umeme kukatika maeneo mengi Kenya na Uganda, baadaye ikabainika kulikua na tatizo la kiufundi kwenye mojawapo wa nguzo kuu zinazounga kwenye taifa lote, ila kilichotuwacha vinywa wazi ni hii video ya kikosi fulani cha wazalendo ambao hufanya haya madude ya kupaa kwa ndege za aina ya helicopter kisha wanashushwa na kuning'inia huku wakirekebisha umeme kwenye nyaya za kitaifa ambazo huwa mwingi mno.

Mawee!! Hawa noma bana, yaani roho juu..... Mwenye taarifa kuwahusu na wapi wao hufanyia haya mazoezi atushushie nondo humu.... cc: Kafrican nakuaminia kwenye kufukua data na kuzileta humu....

Hii video
 
Wacha waje wenzio wa ushabiki mbishane Geza Ulole sisi tulio ndani ya hio industry hio ni kitu ya kawaida Sana na hata wakati wanafanya hio service power was off, Na je hawafanyi Preventive maintenance mpaka karibu nchi nzima inapata blackout?

Tena kwa kujirudia rudia hao alishabàbi wakiwakuta gizani si hatari hio, Mnacheza na Grid kabisa ambayo ina feed up mpaka majirani zenu mmedondosha mpaka network ya uganda sasa, Sasa ivi mnalilia interconnection EA nzima wakati Grid yenu haiko stable sana.

Tanzania hizo cases zipo ila ni very rare kutokea, Tupo Care sana na National Grid, outage zilizopo ni katika Distribution nazo tunazipunguza Sana Grid iko stable sana Tanzania

Nawapongeza Tanzania Electrical Supply Company(TANESCO) kwa hili la Grid wako sensitive sana haswa watu wa Transmission na Generation, Sisi miezi iliyopita tuli face hio blackout kwenye GRID ila badala ya kujisifia kuwa tume service na kulocate izo fault kwa drones ilibidi watu wawajibishwe kwa kudondosha Grid ni hatari sana nchi nzima kuwa giza na sisi power ilikuwa restored very quickly within 7 hours tayari kila kitu kipo normal kabisa Nchi nzima
 
Wacha waje wenzio wa ushabiki mbishane Geza Ulole sisi tulio ndani ya hio industry hio ni kitu ya kawaida Sana na hata wakati wanafanya hio service power was off, Na je hawafanyi Preventive maintenance mpaka karibu nchi nzima inapata blackout? Tena kwa kujirudia rudia hao alishabàbi wakiwakuta gizani si hatari hio, Mnacheza na Grid kabisa ambayo ina feed up mpaka majirani zenu mmedondosha mpaka network ya uganda sasa, Sasa ivi mnalilia interconnection EA nzima wakati Grid yenu haiko stable sana..Tanzania hizo cases zipo ila ni very rare kutokea, Tupo Care sana na National Grid, outage zilizopo ni katika Distribution nazo tunazipunguza Sana Grid iko stable sana Tanzania
Nawapongeza Tanzania Electrical Supply Company(TANESCO) kwa hili la Grid wako sensitive sana haswa watu wa Transmission na Generation, Sisi miezi iliyopita tuli face hio blackout kwenye GRID ila badala ya kujisifia kuwa tume service na kulocate izo fault kwa drones ilibidi watu wawajibishwe kwa kudondosha Grid ni hatari sana nchi nzima kuwa giza na sisi power ilikuwa restored very quickly within 7 hours tayari kila kitu kipo normal kabisa Nchi nzima

Mwenyewe umejinadi kuwa mtaalam kwenye industry ila umejibu kishabiki kama mtu wa vijiweni kabisa, unasema tukio kama hili liliwatendekea miezi kadhaa iliyopita, sisi lilitendeka miaka kadhaa iliyopita, hivyo sio tukio la kila siku au miezi kama kwenu.
Mimi nimeomba taarifa za kuhusu hiki kikosi, hivyo nilitegemea mtaalam aeleze inakuakuaje sio kuleta ushabiki wa vijiweni. Kama wewe mtaalam tueleze inavyokua, waache watu wa vijiweni baadaye watakuja na hayo ya ushabiki.
 
Wacha waje wenzio wa ushabiki mbishane Geza Ulole sisi tulio ndani ya hio industry hio ni kitu ya kawaida Sana na hata wakati wanafanya hio service power was off, Na je hawafanyi Preventive maintenance mpaka karibu nchi nzima inapata blackout?

Tena kwa kujirudia rudia hao alishabàbi wakiwakuta gizani si hatari hio, Mnacheza na Grid kabisa ambayo ina feed up mpaka majirani zenu mmedondosha mpaka network ya uganda sasa, Sasa ivi mnalilia interconnection EA nzima wakati Grid yenu haiko stable sana.

Tanzania hizo cases zipo ila ni very rare kutokea, Tupo Care sana na National Grid, outage zilizopo ni katika Distribution nazo tunazipunguza Sana Grid iko stable sana Tanzania

Nawapongeza Tanzania Electrical Supply Company(TANESCO) kwa hili la Grid wako sensitive sana haswa watu wa Transmission na Generation, Sisi miezi iliyopita tuli face hio blackout kwenye GRID ila badala ya kujisifia kuwa tume service na kulocate izo fault kwa drones ilibidi watu wawajibishwe kwa kudondosha Grid ni hatari sana nchi nzima kuwa giza na sisi power ilikuwa restored very quickly within 7 hours tayari kila kitu kipo normal kabisa Nchi nzima
You lose about 40% of your generated power (1600 MW) due to distribution failures and inefficiencies,how is that professional?
You also have an average of 50 hours a month power outage across the country, with areas like kigamboni experiencing upto 120 hours monthly of power outage. How is that professional?

1589099649595.png
 
You lose about 40% of your generated power (1600 MW) due to distribution failures and inefficiencies,how is that professional?
You also have an average of 50 hours a month power outage across the country, with areas like kigamboni experiencing upto 120 hours monthly of power outage. How is that professional?

View attachment 1445696
Hizi data za mwaka gani?

Kigamboni unayoisema ni ya miaka ya nyuma enzi hizo serikali ilitoa kizalisha umeme cha kutoshea watu wachache, kufikia 2010 ikawa watu wamezidi kuliko umeme uliopo.

2013 wakaanza kuangalia namna ya kusolve na ikatengwa bajeti. Mpaka 2015 umeme ukawa upo stable na tuliweza kwenda miezi miwili bila blackout hapo Kigamboni, na measures zingine zikiendelea kuchukuliwa.

Hizi data za mwak gani?
 
Watanzania wakijaribu kutuiga watasababisha maafa makubwa.
Kuwaiga kukatika umeme itakua ni maajabu. Maajabu zaidi ni Al Shabab walishindwa kuja muda nchi nzima ipo gizani.

So kikundi hakina hata mipango ya kujua time ya kushambulia ndiyo kinaiendesha nchi nzima?
 
Hizi data za mwaka gani?

Kigamboni unayoisema ni ya miaka ya nyuma enzi hizo serikali ilitoa kizalisha umeme cha kutoshea watu wachache, kufikia 2010 ikawa watu wamezidi kuliko umeme uliopo.

2013 wakaanza kuangalia namna ya kusolve na ikatengwa bajeti. Mpaka 2015 umeme ukawa upo stable na tuliweza kwenda miezi miwili bila blackout hapo Kigamboni, na measures zingine zikiendelea kuchukuliwa.

Hizi data za mwak gani?
Kenya sisi huwa hatuna blackouts kwa miaka zaidi ya nne sasa. Sasa wewe usilinganishe Ldc na middle income. Utajiaibisha bure.
 
Kenya sisi huwa hatuna blackouts miaka zaidi ya nne. Sasa wewe usilinganishe Ldc na middle income. Utajiaibisha bure.
Tz haijawahi kua na blackout nchi nzima, hapo mimi nimekutajia sehemu ambayo ukubwa wake ni kama shuka unalolalia
 
Hizi data za mwaka gani?

Kigamboni unayoisema ni ya miaka ya nyuma enzi hizo serikali ilitoa kizalisha umeme cha kutoshea watu wachache, kufikia 2010 ikawa watu wamezidi kuliko umeme uliopo.

2013 wakaanza kuangalia namna ya kusolve na ikatengwa bajeti. Mpaka 2015 umeme ukawa upo stable na tuliweza kwenda miezi miwili bila blackout hapo Kigamboni, na measures zingine zikiendelea kuchukuliwa.

Hizi data za mwak gani?

Angalia tarehe hapo imewekwa ambayo 2017
 
Tz haijawahi kua na blackout nchi nzima, hapo mimi nimekutajia sehemu ambayo ukubwa wake ni kama shuka unalolalia
Kwa hivyo nyie hamna national grid? Na unakuja hapa kuringa?
 
Tz haijawahi kua na blackout nchi nzima, hapo mimi nimekutajia sehemu ambayo ukubwa wake ni kama shuka unalolalia

Hivi wewe unatumia akili kweli, umekuja kutetea upupu...
Mwaka juzi Tanzania imepoteza umeme mikoa yote kasoro miwili, hiyo nchi ya mikoa 30....ina maana mikoa 28 ilikatika umeme...oyaaa!!! Liinchi lote hilo kiza mikoa 28 huoni hata aibu?

 
Kwa hivyo nyie hamna national grid? Na unakuja hapa kuringa?
So ukiwa na national grid lazima blackout itokee?

Uko serious au upo chooni na huu ni ushauri baada ya nzi wa kijani kukuingia kwenye tigo?
 
Hivi wewe unatumia akili kweli, umekuja kutetea upupu...
Mwaka juzi Tanzania imepoteza umeme mikoa yote kasoro miwili, hiyo nchi ya mikoa 30....ina maana mikoa 28 ilikatika umeme...oyaaa!!! Liinchi lote hilo kiza mikoa 28 huoni hata aibu?


Mwaka juzi ukimaanisha 2018. Mikoa yote kasoro miwili.

Nyinyi ni majimbo yote kasoro mangapi?

Kwenue imelast kwa muda gani?

Kubishana na mtu kafichwa kwenye karantini ni tabu kidogo. He has all the time in the world
 
Mwaka juzi ukimaanisha 2018. Mikoa yote kasoro miwili.

Nyinyi ni majimbo yote kasoro mangapi?

Kwenue imelast kwa muda gani?

Kubishana na mtu kafichwa kwenye karantini ni tabu kidogo. He has all the time in the world

Ukubwa wa Tanzania itabidi uunganishe Kenya, Rwanda na Uganda, ila bado tunawazidi kwenye uzalishaji na utumiaji wa umeme.
Halafu kwenu huko mgao kila siku....
 
Ukubwa wa Tanzania itabidi uunganishe Kenya, Rwanda na Uganda, ila bado tunawazidi kwenye uzalishaji na utumiaji wa umeme.
Halafu kwenu huko mgao kila siku....
Hahaha unajua Tz inauza umeme wake katika nchi ngapi?
 
Back
Top Bottom