Kikosi cha wazalendo Kenya ambao huning'inia kwenye helicopter na kurekebisha umeme

Kikosi cha wazalendo Kenya ambao huning'inia kwenye helicopter na kurekebisha umeme

Wacha waje wenzio wa ushabiki mbishane Geza Ulole sisi tulio ndani ya hio industry hio ni kitu ya kawaida Sana na hata wakati wanafanya hio service power was off, Na je hawafanyi Preventive maintenance mpaka karibu nchi nzima inapata blackout?

Tena kwa kujirudia rudia hao alishabàbi wakiwakuta gizani si hatari hio, Mnacheza na Grid kabisa ambayo ina feed up mpaka majirani zenu mmedondosha mpaka network ya uganda sasa, Sasa ivi mnalilia interconnection EA nzima wakati Grid yenu haiko stable sana.

Tanzania hizo cases zipo ila ni very rare kutokea, Tupo Care sana na National Grid, outage zilizopo ni katika Distribution nazo tunazipunguza Sana Grid iko stable sana Tanzania

Nawapongeza Tanzania Electrical Supply Company(TANESCO) kwa hili la Grid wako sensitive sana haswa watu wa Transmission na Generation, Sisi miezi iliyopita tuli face hio blackout kwenye GRID ila badala ya kujisifia kuwa tume service na kulocate izo fault kwa drones ilibidi watu wawajibishwe kwa kudondosha Grid ni hatari sana nchi nzima kuwa giza na sisi power ilikuwa restored very quickly within 7 hours tayari kila kitu kipo normal kabisa Nchi nzima
Hamna lolote TANESCO kwenye Distribution ni janga la miaka na miaka. Yani ni kero sana.

Miundo mbinu mingi ya distribution ni mibovu haifanyiwi maintenance yani ni mpaka usikie nguzo imeanguka ndio watu wanaamka usingizini.

Hakuna utaratibu wa kufanya patrol kwenye lines na hata wananchi wakireport hakuna hatua zinachukuliwa labda nguzo ianguke au waya ukatike.
 
Hizi data za mwaka gani?

Kigamboni unayoisema ni ya miaka ya nyuma enzi hizo serikali ilitoa kizalisha umeme cha kutoshea watu wachache, kufikia 2010 ikawa watu wamezidi kuliko umeme uliopo.

2013 wakaanza kuangalia namna ya kusolve na ikatengwa bajeti. Mpaka 2015 umeme ukawa upo stable na tuliweza kwenda miezi miwili bila blackout hapo Kigamboni, na measures zingine zikiendelea kuchukuliwa.

Hizi data za mwak gani?
Lies, that is analysis from 2018
 
Tanzania tuko busy kupima mapapai, mbuzi, Oil chafu na kurusha ndege mpaka Madagascar kuendea mitishamba ya kutibu na kukinga Corona. Bado tupo kwenye ujima na ujamaa.

Hayo mambo ya Chopa kutumika kukarabati miundo mbinu ya umeme tuwaachie Kenya, hayatuhusu na hatuna muda nayo. Sisi bado sana, ipo siku tutayafikia.
 
Hamna lolote TANESCO kwenye Distribution ni janga la miaka na miaka. Yani ni kero sana.

Miundo mbinu mingi ya distribution ni mibovu haifanyiwi maintenance yani ni mpaka usikie nguzo imeanguka ndio watu wanaamka usingizini.

Hakuna utaratibu wa kufanya patrol kwenye lines na hata wananchi wakireport hakuna hatua zinachukuliwa labda nguzo ianguke au waya ukatike.
lakini nyinyi watu sijui mnataka kiti gani!!!

ulitaka uwe unawaona TANESCO wanatambaa kwenye nyaya kama makomandoo ndipo ujue wako active,au wanashinda katika nguzo hapo chini???

yaani mnalalamika mpaka mnapoteza dira za msingi.
umeme unapata???
au unapata usiokidhi mahitaji yako???
huupati kabisa??
nguzo ikiangua inakaa wiki ngapi mpaka umeme uzimwe baada ya kutoa taarifa??

acha kauli za kichawi mdogo wangu hujui watu wanaumia kiasi gani,ili tu uchaji kitecno chako hicho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania tuko busy kupima mapapai, mbuzi, Oil chafu na kurusha ndege mpaka Madagascar kuendea mitishamba ya kutibu na kukinga Corona. Bado tupo kwenye ujima na ujamaa.

Hayo mambo ya Chopa kutumika kukarabati miundo mbinu ya umeme tuwaachie Kenya, hayatuhusu na hatuna muda nayo. Sisi bado sana, ipo siku tutayafikia.
ikinunuliwa hata moja tu,utakuwa wa kwanza kuja hapa kulia lia ni kwanini,maana si kipaumbele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
lakini nyinyi watu sijui mnataka kiti gani!!!

ulitaka uwe unawaona TANESCO wanatambaa kwenye nyaya kama makomandoo ndipo ujue wako active,au wanashinda katika nguzo hapo chini???

yaani mnalalamika mpaka mnapoteza dira za msingi.
umeme unapata???
au unapata usiokidhi mahitaji yako???
huupati kabisa??
nguzo ikiangua inakaa wiki ngapi mpaka umeme uzimwe baada ya kutoa taarifa??

acha kauli za kichawi mdogo wangu hujui watu wanaumia kiasi gani,ili tu uchaji kitecno chako hicho.

Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi wewe popo mbona umeumia kusikia ukweli? Kateni na miti maana line zimesongwa sana na miti kila siku feeder zinatoka, mvua kidogo tu blackout. Fanyeni kazi nitamwambia Kalemani awatumbue shauri yenu.
 
Jana tumekua na changamoto la umeme kukatika maeneo mengi Kenya na Uganda, baadaye ikabainika kulikua na tatizo la kiufundi kwenye mojawapo wa nguzo kuu zinazounga kwenye taifa lote, ila kilichotuwacha vinywa wazi ni hii video ya kikosi fulani cha wazalendo ambao hufanya haya madude ya kupaa kwa ndege za aina ya helicopter kisha wanashushwa na kuning'inia huku wakirekebisha umeme kwenye nyaya za kitaifa ambazo huwa mwingi mno.

Mawee!! Hawa noma bana, yaani roho juu..... Mwenye taarifa kuwahusu na wapi wao hufanyia haya mazoezi atushushie nondo humu.... cc: Kafrican nakuaminia kwenye kufukua data na kuzileta humu....

Hii video

Hawa jamaa inabidi wawe na skill ya kuliko hata wanajeshi aisee! nimeangalia hizo video hio kazi si mchezo...
Lakini hata mi nilikua sijui kuna kikosi kama hichi, mi nilikua najua tu kwamba KPLC hutumia helicopters ku inspect transmission line zao lakini sikua najua pia wanaweza ku repair kutoka kwa ndege...

Anyway hii ndo info pekee ambayo nimepata


 
Wacha waje wenzio wa ushabiki mbishane Geza Ulole sisi tulio ndani ya hio industry hio ni kitu ya kawaida Sana na hata wakati wanafanya hio service power was off, Na je hawafanyi Preventive maintenance mpaka karibu nchi nzima inapata blackout?

Tena kwa kujirudia rudia hao alishabàbi wakiwakuta gizani si hatari hio, Mnacheza na Grid kabisa ambayo ina feed up mpaka majirani zenu mmedondosha mpaka network ya uganda sasa, Sasa ivi mnalilia interconnection EA nzima wakati Grid yenu haiko stable sana.

Tanzania hizo cases zipo ila ni very rare kutokea, Tupo Care sana na National Grid, outage zilizopo ni katika Distribution nazo tunazipunguza Sana Grid iko stable sana Tanzania

Nawapongeza Tanzania Electrical Supply Company(TANESCO) kwa hili la Grid wako sensitive sana haswa watu wa Transmission na Generation, Sisi miezi iliyopita tuli face hio blackout kwenye GRID ila badala ya kujisifia kuwa tume service na kulocate izo fault kwa drones ilibidi watu wawajibishwe kwa kudondosha Grid ni hatari sana nchi nzima kuwa giza na sisi power ilikuwa restored very quickly within 7 hours tayari kila kitu kipo normal kabisa Nchi nzima
Power was off kwasababu kulikua na fault kwenye transmission line, lakini haimanishi hawawezi kufanya maintenance kwenye live wire..

FYI KPLC imekua ikifanya Live-Line Maintenance tangu 2016,
Kenya Power launches live maintenance of network
 
Tanzania tuko busy kupima mapapai, mbuzi, Oil chafu na kurusha ndege mpaka Madagascar kuendea mitishamba ya kutibu na kukinga Corona. Bado tupo kwenye ujima na ujamaa.

Hayo mambo ya Chopa kutumika kukarabati miundo mbinu ya umeme tuwaachie Kenya, hayatuhusu na hatuna muda nayo. Sisi bado sana, ipo siku tutayafikia.
Priority Tanzania ni kuvuruga upinzani. Kwa hilo tu we are second to none.
 
Hawa jamaa inabidi wawe na skill ya kuliko hata wanajeshi aisee! nimeangalia hizo video hio kazi si mchezo...
Lakini hata mi nilikua sijui kuna kikosi kama hichi, mi nilikua najua tu kwamba KPLC hutumia helicopters ku inspect transmission line zao lakini sikua najua pia wanaweza ku repair kutoka kwa ndege...

Anyway hii ndo info pekee ambayo nimepata




Yaani badass.....
 
Vipi wewe popo mbona umeumia kusikia ukweli? Kateni na miti maana line zimesongwa sana na miti kila siku feeder zinatoka, mvua kidogo tu blackout. Fanyeni kazi nitamwambia Kalemani awatumbue shauri yenu.
huujui ukweli,unachojua ni muda wa kula njaa inakuuma basi,hayo mengine achia wataalamu na kazi zao.

inadhani inahitajika monitoring ya gharama kiasi gani kuhangaika na maelfu km ya nyaya za umeme zinazoning'inia juu!!!au unadhani kuna baadhi ya watumishi ni superman??
 
huujui ukweli,unachojua ni muda wa kula njaa inakuuma basi,hayo mengine achia wataalamu na kazi zao.

inadhani inahitajika monitoring ya gharama kiasi gani kuhangaika na maelfu km ya nyaya za umeme zinazoning'inia juu!!!au unadhani kuna baadhi ya watumishi ni superman??
Uzembe upo sana hamfanyi kazi yenu. Kama wafanyakazi wapo wakutosha kinashindikana nini kufanya patrol?
 
Hahaha unajua Tz inauza umeme wake katika nchi ngapi?

Hapohapo pengine haujui umeme Wa kutumia Kagera unanunuliwa kutoka Uganda na pia Kigoma haiko katika gridi ya Taifa inatumia umeme wa kufua kwa ma generator.
 
Ukubwa wa Tanzania itabidi uunganishe Kenya, Rwanda na Uganda, ila bado tunawazidi kwenye uzalishaji na utumiaji wa umeme.
Halafu kwenu huko mgao kila siku....
Screenshot_20200509-065951.png
 
Hapohapo pengine haujui umeme Wa kutumia Kagera unanunuliwa kutoka Uganda na pia Kigoma haiko katika gridi ya Taifa inatumia umeme wa kufua kwa ma generator.
Hakuna Rais atatokea Africa kuwaunganishia wananchi wake umeme kwa wingi katikati kipindi kifupi na kwa gharama nafuu kama JPM


 
Hapohapo pengine haujui umeme Wa kutumia Kagera unanunuliwa kutoka Uganda na pia Kigoma haiko katika gridi ya Taifa inatumia umeme wa kufua kwa ma generator.
Hoja yako ni nini? Kwamba Tz haiuzi umeme au?

Kuna mtu katoka kusema kua Tz ilikumbwa na blackout ya nchi nzima kasoro mikoa miwili, akaitaja, kisha wewe unasema Kagera na Kigoma umeme wao haupo gridi ya taifa.

Kwahiyo baada ya gridi ya taifa kupata blackout, Kagera wanaotoa umeme Ug na Kigoma wanaotumia umeme wa majenereta, nao wakaexperience blackout ya grid ya Taifa?
 
Umeme unakuwa umezimwa hapo hakuna uzalendo wowote..
Mwenyewe umejinadi kuwa mtaalam kwenye industry ila umejibu kishabiki kama mtu wa vijiweni kabisa, unasema tukio kama hili liliwatendekea miezi kadhaa iliyopita, sisi lilitendeka miaka kadhaa iliyopita, hivyo sio tukio la kila siku au miezi kama kwenu.
Mimi nimeomba taarifa za kuhusu hiki kikosi, hivyo nilitegemea mtaalam aeleze inakuakuaje sio kuleta ushabiki wa vijiweni. Kama wewe mtaalam tueleze inavyokua, waache watu wa vijiweni baadaye watakuja na hayo ya ushabiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom