ulichokitabiri ndicho kilichotokea. mchezaji wa Mwadui Fc anapewa kadi nyekundu. na hivyo Mwadui Fc wanabaki wachezaji 10.HAPA ITATAFUTWA PENALTY HATA KWA NJIA YATOCHI ILIMRADI TU NDALA/VYURA WABEBWE
AU WAPUNGUZIWE MCHEZAJI(REDCARD)
HEEEEEEEE Niliwaaambia hawa vyura mambo mawili lazima yatokee ndipo washindee!ulichokitabiri ndicho kilichotokea. mchezaji wa Mwadui Fc anapewa kadi nyekundu. na hivyo Mwadui Fc wanabaki wachezaji 10.
HEEEEEEEE Niliwaaambia hawa vyura mambo mawili lazima yatokee ndipo washindee!ulichokitabiri ndicho kilichotokea. mchezaji wa Mwadui Fc anapewa kadi nyekundu. na hivyo Mwadui Fc wanabaki wachezaji 10.
Viporo huliwa na ndimu bana.mpira umeisha katika uwanja wa taifa YANGA FC 2 vs MWADUI FC 1
Mwisho wa siku viporo vya yanga nisawa na kiporo cha mboga ya kisamvu huwa kikilala kinazidi kuwa kitamu
Matokeo mazuri sana haya Young AfricansFT:Yanga 2-1Mwadui.