Toti naye ni mkali ila hapo unasema nimuweke bench Thiery Henry au de lima,Wako wapi hawa totti, puto, requelme na nedved
Beckham kabebwa na vyombo vya uingereza, alikuwa wa kawaida tu!!Unawaachaje Luis Figo na Ricardo Kaka afu umwingize hapo David Villa., unaanzaje kutomweka D. Beckham hata benchi... Pengine pote uko sawa yangu ndo hayo..
Fernando hiero alikua beki mjanja sana pia kwenye penalt akipiga tano zote zinaenda wavuni,Fernando Hierro,Redodndo,Requlme,Edgar David,kluivert,Rene Higuita(sp am not sure?Steve mac manaman,Paul Scholles.Figo,Luis Enrique,Morrientes,Careca,Gary Linekar,Boby Chalton(Sir)Goerge Best,Sherigham,Hasselbank Jimmy floyd.Nuno Valente,Gigs,Mafisango!hahahaha
Hapo chini ulimaanisha David Beckham au Dennis Bergkamp? Wa kwanza hapo jina kubwa, wa pili mpira mwingi.Kwa kifupi nimeanza kuangalia soka la majuu kwenye kuanzia mwaka 1994, na kwa kipindi hicho nimefanikiwa kuwaona nyota kadhaa wakichipukia hadi kustaafu mpira,
kifuatacho ni kikosi changu bora kabisa cha jumla ya wachezaji 20. kati ya hao nitachagua first Eleven, olele X1,
hapa nazungumzia wachezaji ambao nimewaona wakicheza kuanzia miaka ya 1996 hadi sasa. pia Ni-declare interest kabisa kuwa mimi ni shabiki wa Liverpool,
1. Oliver Khan
2. Cafu
3.Robarto Carlos
4. John Terry
5. Allexandro Nesta
6: Patrick Vieira
7: Leonel Messi
8: Zinedine Zinade
9: Ronaldo de Lima
10: Thiery Henry
11: Christiano Ronaldo
Sub:
1: Gianluig Buffon
2: Fabio Cannavaro
3: Xavi Hernandez
4: Ronaldinho Gaucho
5. David Villa
6. Steven Gerrald (anaingia kwa upendeleo maalumu)
7: Andres Iniesta
8: Dani Alves
9. Luis Suarez
Kwa heshima nawataja:
Edwin Van der sar, Alesandro Del Piero, Lucio, David Bergkamp, Samuel Etoo
Usitoe kashfa na wewe taja kikosi chako
Macmanaman?jap stam?Kole?yule mreefu?Van Bommel?Fernando hiero alikua beki mjanja sana pia kwenye penalt akipiga tano zote zinaenda wavuni,
ila hakua na mbio, nakumbuka mechi za man u, gigs alikua anamtangulizia mipira alafu anakuja kumpita kama jeti
huyu ni wa kushoto na mwenzake ni kuliahapo mkuu unaniambia nimuweke benchi Robart Carlos
Sio miaka ya karibu ndgEtoooooooooooooooooooooo huyo ndo mcheza bora kwang Africa nzima na cjui km atakuja km yy
Uliwahi kumsikia George Opong'o Weah?Etoooooooooooooooooooooo huyo ndo mcheza bora kwang Africa nzima na cjui km atakuja km yy
Mi concern yangu ni no 4 John Terry hamna kabisa hajafikia kiwango cha kutisha duniani
mtoe Edwin Van der sar muwekeKwa kifupi nimeanza kuangalia soka la majuu kwenye
Usitoe kashfa na wewe taja kikosi chako