Kikosi changu cha kwanza cha NBC Premier League kwa mzunguko wa kwanza wa ligi kuu

Nilikuwa sijui kuwa JF huwa wanaruhusu mataahira kujiunga na kupost utaahira wao
Nashangaa kuona hata wewe kuacha kusherehekea siku yako na wanawake wenzako na kuja hapa..!
 
Upo sahihi kabisa mkuu. Wewe utakuwa mdau mwandamizi wa michezo.
 
Nashangaa kuona hata wewe kuacha kusherehekea siku yako na wanawake wenzako na kuja hapa..!

Halafu itakuwa ped umeiweka vibaya wewe, si kwa kuchukia huko..!
Comment hii imeonesha kiwango chako cha akili. Hapa unawakashfu wanawake Kwa maumbile yao ndo unajiona bonge la mjanja? Wanawake kuingia period unaona ajabu wakati ni nature? Hapo umejiona umemtukana pakubwa wakati umeonesha uzuzu uliopitiliza?

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Duh eti mnata kips no mbili na diara hayupo kabisa acha undezi wewe uyo mnata kafungwa goli ngap kwenye ligi
 
Ni kawaida na mawaumbile Mungu ameumba, nimemueleza tu kuwa aweke vizuri.

Kwani wee ukiambiwa tumia akili umekashifiwa?

Au ukiambiwa nenda kakojoe ulale, si kawaida tu maumbile na lazima kwa binadamu.

Halafu acha kujipa uwezo ambao huna mkuu wewe si chochote kwenye uerevu bali, ni mpuuzi fulani hivi.
 
Duh eti mnata kips no mbili na diara hayupo kabisa acha undezi wewe uyo mnata kafungwa goli ngap kwenye ligi
We utakuwa na mahaba na Diara kwani hata yeye kuna game hawepo ndo nimempunguza alama

Lakini golikipa mzuri..!
 
Chama kacheza mechi ngapi mzunguko wa kwanza? Vipi Dube?

Unaujua mpira au unahadithiwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…