Kikosi changu cha Ligi Kuu Tanzania Bara-VPL 2019/2020

Ni shabiki wa timu husika pekee anayeweza kumweka kocha wa kikosi bora kuwa Sven huku mashabiki wenyewe mkimpigia kelele kwa ubovu kila siku, huu ni ushabiki maandazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani Hawa mikia wanajidanganya Sana.....unajua wengi wao wanaamini kuwa wanna timu nzuri na kwamba matokeo wanayopata uwanjani ni halali...wengi wao hawaamini kuwa matokeo hayo ni fixed...
Hawajui kabisa hata ushindi wanaupataje uwanjani.
 
Kweli hichi kikosi chako hongera manara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.Aishi Manula =Simba
2.Shomari kapombe =Simba
3.Mohamed Husseien =Simba
4.Yakubu=Azam
5.Pascal Wawa =Simna
6.Jonas Mkude=Simba
7.Balama Mapinduzi=Yanga
8.Chama=Simba
9.kagere=Simba
10.Lucas Kikoti=Namungo
11.Bernad Morrison=Yanga

Sub
Metacha mnata, Yanga
Bakari Nondo, Costal union
Lusajo, Namungo
Kahata, Simba
Baraka Majogoro
Shishimbi, Yanga
Idd Nado, Azam

Coach Sven, Simba


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bodaboda FC wana matatizo sana wanajilinganisha na Al Ahly kisa amesema yule mropokaji wao hivi bila marefa watafunga nani wao wanasajili majina makubwa hata kama ana miaka 40 kama Wawa mpira hawana majina ya zilipendwa wanayo wamewaharibu akina Ajibu Gadiel jamaa wanakula benchi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…